Habari yenu wana Jf. Nimechukua nafasi hii ilikuongelea mashirika ya simu kujiingiza ktk biashara za kutoa fedha na kupoke kama ma Bank na vile yanavyo haribu uchumi wa Taifa letu. Unajuwa nilazima tujuwe uchumi wa nchi haupimwi kwa kupitia ktk utumiaji wa sim kama ma banks ila serikal inatumia ma bank kujuwa kiasi cha hazina yake.
Kuanzishwa kwa biashara za kutuma na kupokea fedha kunaleta madhara makubwa hasa kwa ma bank. Kutokana na kupunguza deposit ambazo zilikuwa zikifanywa hapo awali na watu. Kutumia sim as a means of bank, kunawatu wamefika hatuwa yakujivunia kutembea na pesa ktk m. Pesa. Huku wakisahau kuweka pesa bank inakupa riba,ila kuwa napesa ktk M pesa ni sawa na mtu kuchimbia fedha ardhini. Ninabaki kushangaa kwanin serikali imeridhia mashirika ya simu kuwaibia wanachi kwa kutoza gharama kubwa ktk kutuma na kupoke fedha kwa kiwango cha asilimia 200% tofauti na ma bank.
Pili uchumi wa tanzania unaenda kuhamishwa toka ktk ma bank nakwenda ktk mitandao ya simu? Jambo ambalo ni hatari sana, Prof Ndulu tafadhali tusaidie kujuwa ni kiasi gani ma bank yamepoteza as deposit tangau kuanza kwa mambo ya M. Pesa? Tukumbuke pesa iliopo bank ndio serikal inaweza kuikopa ama wananchi? Je ina maana M pesa anamkopesha nani?
Tatu hivi karibuni Tanzania bunge limepitisha AML ACT. Sheria ya kuzuwia utakasaji wa pesa? Je huon ma billion yalio potea serikalini yameenda kusafishwa via M. Pesa ? Nakurudishwa bank as white money? Jaman kwakwel hukunikukosa wasomi nakudharau kazi ngumu wanayo fanya ma bank. Je issue ya KYC INAKUWAJE? Serikali imekurupuka nakuleta tatizo ambalo lisipopatiwa dawa sasa basi taifa litakuwa kwenye maangamiz mengine ya kiuchumi.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake! Amen
Kuanzishwa kwa biashara za kutuma na kupokea fedha kunaleta madhara makubwa hasa kwa ma bank. Kutokana na kupunguza deposit ambazo zilikuwa zikifanywa hapo awali na watu. Kutumia sim as a means of bank, kunawatu wamefika hatuwa yakujivunia kutembea na pesa ktk m. Pesa. Huku wakisahau kuweka pesa bank inakupa riba,ila kuwa napesa ktk M pesa ni sawa na mtu kuchimbia fedha ardhini. Ninabaki kushangaa kwanin serikali imeridhia mashirika ya simu kuwaibia wanachi kwa kutoza gharama kubwa ktk kutuma na kupoke fedha kwa kiwango cha asilimia 200% tofauti na ma bank.
Pili uchumi wa tanzania unaenda kuhamishwa toka ktk ma bank nakwenda ktk mitandao ya simu? Jambo ambalo ni hatari sana, Prof Ndulu tafadhali tusaidie kujuwa ni kiasi gani ma bank yamepoteza as deposit tangau kuanza kwa mambo ya M. Pesa? Tukumbuke pesa iliopo bank ndio serikal inaweza kuikopa ama wananchi? Je ina maana M pesa anamkopesha nani?
Tatu hivi karibuni Tanzania bunge limepitisha AML ACT. Sheria ya kuzuwia utakasaji wa pesa? Je huon ma billion yalio potea serikalini yameenda kusafishwa via M. Pesa ? Nakurudishwa bank as white money? Jaman kwakwel hukunikukosa wasomi nakudharau kazi ngumu wanayo fanya ma bank. Je issue ya KYC INAKUWAJE? Serikali imekurupuka nakuleta tatizo ambalo lisipopatiwa dawa sasa basi taifa litakuwa kwenye maangamiz mengine ya kiuchumi.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake! Amen