M-pesa & tigo pesa

M-pesa & tigo pesa

Kabaizer

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
504
Reaction score
64
Jamani mwenye ofisi na anatafuta wakala mi nipo tayari kufanya hiyo kazi, naomba msaada wenu wa ajira wakulu!
 
Nafasi ya wakala katika M-pesa na Tigo pesa kwa mfanya biashara mdogo walau One million or laki tano kwa mtu mwenye mtaji mdogo saana na kutegemea mazingira ulotegesha kama yanawateja wengi ama lah! But hizo biashara kwa hakika kabisa ni bora ukawa na mtaji angalau from 7-15&20 million ili kufanya biashara inayoeleweka na kuweza pata commission kubwa toka kwenye kampuni husika.... Take note kua commission ya M-pesa ipo juu kuliko Tigo pesa na pia the former inawateja wengi kuliko the later....

Swali: kama una uwezo wa kuwa wakala... Unaomba kazi ya nini? Ama sijakuelewa?? Ama hujaelewa kua wakala ni nini??
 
nilivyoelewa me anataka kufanya kazi kwa wakala wa izo business
 
Nafasi ya wakala katika M-pesa na Tigo pesa kwa mfanya biashara mdogo walau One million or laki tano kwa mtu mwenye mtaji mdogo saana na kutegemea mazingira ulotegesha kama yanawateja wengi ama lah! But hizo biashara kwa hakika kabisa ni bora ukawa na mtaji angalau from 7-15&20 million ili kufanya biashara inayoeleweka na kuweza pata commission kubwa toka kwenye kampuni husika.... Take note kua commission ya M-pesa ipo juu kuliko Tigo pesa na pia the former inawateja wengi kuliko the later....

Swali: kama una uwezo wa kuwa wakala... Unaomba kazi ya nini? Ama sijakuelewa?? Ama hujaelewa kua wakala ni nini??

tatizo lake ni mtaji, ila anaomba mtu kama watafanya biashara, yeye ndo awe manager wa hiyo biashara
 
Nafasi ya wakala katika M-pesa na Tigo pesa kwa mfanya biashara mdogo walau One million or laki tano kwa mtu mwenye mtaji mdogo saana na kutegemea mazingira ulotegesha kama yanawateja wengi ama lah! But hizo biashara kwa hakika kabisa ni bora ukawa na mtaji angalau from 7-15&20 million ili kufanya biashara inayoeleweka na kuweza pata commission kubwa toka kwenye kampuni husika.... Take note kua commission ya M-pesa ipo juu kuliko Tigo pesa na pia the former inawateja wengi kuliko the later....

Swali: kama una uwezo wa kuwa wakala... Unaomba kazi ya nini? Ama sijakuelewa?? Ama hujaelewa kua wakala ni nini??
commission inatolewa kwa rate zipi ili tujue zaidi
 
Jamani kwa wale mawakala wanaohitaj mfanyakazi, nilikua sijaongea vizur ila now nadhani mmenipata wakuu!
 
Hivi kufanya kazi kwenye wakala wa M-Pesa unahitaji qualifications zozote maalumu?
Nakushauri upanue area unayotafuta kazi, au kuna sababu maalumu ya kutaka kazi kwenye wakala wa M-pesa napata shida kidogo kuelewa, kama una experience ya sekta hiyo ni vizuri ungesema hivyo kumbuka kutafuta kazi ni "kujiuza" kwanini watu wakupe wewe badala ya wengine.
 
Back
Top Bottom