Nina laki moja nataka tgo pesa km umeridhia nipigie0753746898Kwa anayehitaji TILL zinauzwa:
Voda = 150,000/=
Tigo = 150,000/=
Airtel =130,000/=
Halotel =130,000/=
Karibuni sana kwa biashara.
Ni zipo moja moja tu nilikuwa nafanyia biashara mimi sasa nmeamua kuingilia kulima hivyo naziuza kuongeza mtaji wa kilimo.
Napatikana Iringa lakin Mbeya,morogorp,Dodoma na Dar naweza kukufikishia
0765329261
Inaonekana kilimo kinalipa kuliko hizo biashara za mitandao acha nasisi tukuige kwenda kulima sijui nan atanunua izo TILL mkuu.Kwa anayehitaji TILL zinauzwa:
Voda = 150,000/=
Tigo = 150,000/=
Airtel =130,000/=
Halotel =130,000/=
Karibuni sana kwa biashara.
Ni zipo moja moja tu nilikuwa nafanyia biashara mimi sasa nmeamua kuingilia kulima hivyo naziuza kuongeza mtaji wa kilimo.
Napatikana Iringa lakin Mbeya,morogorp,Dodoma na Dar naweza kukufikishia
0765329261
Ujuaji mwingi utakuponza usiwe wa kuiga iga na kujiona. Umefanya utafiti ukaona kuwa biashara ya mtandao hailipi? Ishi ktk ndoto zako kama ambavyo ndoto ni kilimoInaonekana kilimo kinalipa kuliko hizo biashara za mitandao acha nasisi tukuige kwenda kulima sijui nan atanunua izo TILL mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan huelewi,safar njemsMbona bei kubwa harafu huwa zinapatikana kirahisi tuu. Au sielewi. Kila la kheri lakini
Wewe ni moja ya tafiti zangu baada ya kukimbia hayo matatizo na kuingia kwny kilimoUjuaji mwingi utakuponza usiwe wa kuiga iga na kujiona. Umefanya utafiti ukaona kuwa biashara ya mtandao hailipi? Ishi ktk ndoto zako kama ambavyo ndoto ni kilimo
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe mwelewa sijakimbia naenda kufanya kaz niipendayo acha uzuzu mbona zimeshauzwa sasa hizo tillWewe ni moja ya tafiti zangu baada ya kukimbia hayo matatizo na kuingia kwny kilimo
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
Futa Uzi km tayar umeuza....hongera kwa kufanikiwa mkuuUwe mwelewa sijakimbia naenda kufanya kaz niipendayo acha uzuzu mbona zimeshauzwa sasa hizo till
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona mleta uzi akili yake kama ccyemu vile
Nakupa 110 niletee tgo pesa nipo kibahaKwa anayehitaji TILL zinauzwa:
Voda = 150,000/=
Tigo = 150,000/=
Airtel =130,000/=
Halotel =130,000/=
Karibuni sana kwa biashara.
Ni zipo moja moja tu nilikuwa nafanyia biashara mimi sasa nmeamua kuingilia kulima hivyo naziuza kuongeza mtaji wa kilimo.
Napatikana Iringa lakin Mbeya,morogorp,Dodoma na Dar naweza kukufikishia
0765329261
Nina shida na Etel Mane na Voda plzKwa anayehitaji TILL zinauzwa:
Voda = 150,000/=
Tigo = 150,000/=
Airtel =130,000/=
Halotel =130,000/=
Karibuni sana kwa biashara.
Ni zipo moja moja tu nilikuwa nafanyia biashara mimi sasa nmeamua kuingilia kulima hivyo naziuza kuongeza mtaji wa kilimo.
Napatikana Iringa lakin Mbeya,morogorp,Dodoma na Dar naweza kukufikishia
0765329261