INAUZWA M-pesa,Tigopesa, airtel money and Halopesa

Kajole

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2011
Posts
1,668
Reaction score
1,643
Kwa anayehitaji TILL zinauzwa:
Voda = 150,000/=
Tigo = 150,000/=
Airtel =130,000/=
Halotel =130,000/=
Karibuni sana kwa biashara.
Ni zipo moja moja tu nilikuwa nafanyia biashara mimi sasa nmeamua kuingilia kulima hivyo naziuza kuongeza mtaji wa kilimo.

Napatikana Iringa lakin Mbeya,morogorp,Dodoma na Dar naweza kukufikishia
0765329261
 
Nina laki moja nataka tgo pesa km umeridhia nipigie0753746898

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana kilimo kinalipa kuliko hizo biashara za mitandao acha nasisi tukuige kwenda kulima sijui nan atanunua izo TILL mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona bei kubwa harafu huwa zinapatikana kirahisi tuu. Au sielewi. Kila la kheri lakini
 
Nakupa 110 niletee tgo pesa nipo kibaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina shida na Etel Mane na Voda plz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…