M-Pesa wamerudisha fedha yangu!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Natumaini Vodacom watakuwa wamemfukuza kazi mtu yule au wale wote waliohusika kuchota fedha zinazotumwa kupitia Western Union. Za kwangu hatimaye wamemtumia mhusika baada ya kulalamika makao makuu ya WU. Ningependa kusikia Voda wamejisafisha.
 
Natumaini Vodacom watakuwa wamemfukuza kazi mtu yule au wale wote waliohusika kuchota fedha zinazotumwa kupitia Western Union. Za kwangu hatimaye wamemtumia mhusika baada ya kulalamika makao makuu ya WU. Ningependa kusikia Voda wamejisafisha.

Aibu yao..hii nchi kila kona ni ukanjanja..system reform is inevitable..kuna majitu yanatakiwa yastaafishwe kinguvu yabakie kuchunga mbuzi tu.
 
Ukweli ni kwamba kulikuwa kuna system glitch kati ya M-Pesa na WU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…