M-pesa

SURN

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2011
Posts
319
Reaction score
36
Kwa wale wazoefu wa m.pesa naombeni ushauli...nataka kujihusisha na biashara ya m-pesa ...je ina lipa? Kama inalipa ni kwa kiasi gan?principal gan zinatakiwa ili ilipe zaid na zaid? Na changamoto gani unaweza kuzipata wakat wakuendesha hii huduma?..#NAOMBENI MSAADA JAMANI#
 
Mkuu kama Ni kulipa inawalipa wenye Kampuni yaani VODACOM, Make wao ndo controle na ndo wamiliki wa Idea so wengine ni kufanya tu kwa kufuata yale wanayo waagiza
 
M-pesa inalipa kulingana na mtaji ulionao na eneo pia!! Mfano ukiwa na mtaji wa mil 3,au mbili na nusu! Faida yako kwa mwezi unaweza pata laki 5, au 4 na nusu, NENDA VODASHOP ILIYOPO KARIBU YAKO! Ukiwa na NAMBA Till&LESENI YA BIASHARA na Kitambulisho chako! Kima cha chini ni sh 100000(laki moja) unaanza BIASHARA YA m-pesa
 
Mkuu kama Ni kulipa inawalipa wenye Kampuni yaani VODACOM, Make wao ndo controle na ndo wamiliki wa Idea so wengine ni kufanya tu kwa kufuata yale wanayo waagiza[/QU...una.maanisha hailipi kwa hawa mawakala wa m-pesa
 
Asante kaka...mtaji ndo una determine faidi
 

Tafuta eneo lenye mzunguko wa watu,itakulipa vizuri.
 
Mkuu kama Ni kulipa inawalipa wenye Kampuni yaani VODACOM, Make wao ndo controle na ndo wamiliki wa Idea so wengine ni kufanya tu kwa kufuata yale wanayo waagiza

Sijui kama hata unaweza kumshauri mtu biashara ya genge la nyanya pole sana!

mkuu inalipa suala ni kutafuta center yenye mzunguko mkubwa wa watu kama mwenge ,magomeni,kariakoo itakulipa na pia mtaji wako ndo utakaokuwezesha ww kupata faida kubwa
 
 
 
Changamoto kubwa kwny hii biashara ni: usalama dhidi ya pesa feki-hapa jaribu kuwa makini sana unapopokea pesa,uzikague vizuri au kama huwezi tafuta UV-tube light,zipo kkoo kwenye maduka ya vifaa vya umeme. Utapeli-usiruhusu mteja ashike simu yako ya biashara,wengi wameibiwa kwa jinsi hii,kama mteja anataka kuweka pesa kwa simu yake mpe karatasi akuandikie namba. Kurusha pesa-hairuhusiwi kuhudumia akaunti ambayo haipo hapo mbele yako,usiamini mtu anayesema simu yake ameacha nyumbani,hii itasababisha upigwe fine na mtandao husika. Zingine wadau wengine watakujuza.[/QU ASANTE SANA KWA MSAADA WAKO .NIMEPATA KI2 KIPYA KUTOKA KWAKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…