Muonekano na mambo yako, na ukizidisha sana hata wa-Sure nao wataanza kukuita M-Sure
Hamjanipa jibu m-sure ni mtu wa aina gani? Mzee? Au?we ni msure ila unataka sana kujichangana na watoto vijana!
wasure wengi huwa ata hawajijui kama wanaitwa ivo
kwaiyo bado tu ujaelewa maana yake?Hamjanipa jibu m-sure ni mtu wa aina gani? Mzee? Au?
3/4 correct.M-sure
1.Una pesa ya kutosha.
2.Dressing code za kiβfatherβ... Namna unavyotembea na kuongea kiβfatherβ.
3.Mtu mwenye umri mkubwa unayeishi kama kijana wa makamo.
4.Mtu mzima unayependwa sana na vijana kutokana na lifestyle yako kuwavutia.
One of the above might be the answer.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muonekano na mambo yako, na ukizidisha sana hata wa-Sure nao wataanza kukuita M-Sure
mshua ni tajiri[emoji6]Hivi M-sure maanake nini? Nauliza hivi kwasababu kuna vijana around my office wananiita m-sure hata around my neighbourhood vijana wengine wananiita m-sure. Ni vijana nimewazidi miaka 10 au 15 hivi.
Utawasikia m-sure mamabo vipi? Au m-sure heshima yako?
Enzi mimi nakua m-sure tulikuwa tunamuita baba. Sasa ina maana mimi nalingana na baba zao hawa vijana au m-sure ina maana gani? Im over 30!
Au anavaa suruali za vitambaa Sky Eclat[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sijambo m-sure...uko poa?Hujambo mrembo...