M-sure....

Hebu waulize hao wanaokuita , watakua na tafsiri sahihi zaidi.
 
mzee wa bishoo
 
Hamjanipa jibu m-sure ni mtu wa aina gani? Mzee? Au?
1. Mwanaume wa makamo
2. Mwanaume anayejiweza kimapato
3. Asiyejisikia na anayejichanganya na rika zote
4. Anayetoa vimsaada kwa wenye mahitaji
5. Asiye na kashfa kama ujambazi/umalaya nk
 
1. Mwanaume wa makamo
2. Mwanaume anayejiweza kimapato
3. Asiyejisikia na anayejichanganya na rika zote
4. Anayetoa vimsaada kwa wenye mahitaji
5. Asiye na kashfa kama ujambazi/umalaya nk
Hapo nawaelewa sasa.
 
Inahusu pia kama huna tatizo kwenye malipo na ishu za pesa
timu ya mtaani ikija na mchango wa jezi unatoa tu fasta

jirani kuna msiba...mchango uko fasta

fundi anafyatua matofali hubishani malipo sana
unalipa in time...


Sometimes utasikia 'jamaa mzungu sana'
yule m sure hana shida....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…