Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
HahahaMy swi huyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Meshangaa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaMy swi huyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haha toka lini jamani shunie anakudanganya ujue hapendi kutuona tukifurahi pamojaHahaha
Sasa yule si baby wako my Mshipa
WoooooooooooooooooozeeeeeeeeeereerrrrrrrrrrNi furaha iliyojaa moyoni mwangu, kila nikifikiria namna nilivyokupata kwani sikutarajia kama ndoto yangu ya kupata mwanamke anayenipenda kama wewe.
Upendo wangu kwako @monenytalk hauna kifani, laiti ningekuwa na uwezo nifunue kifua changu uone jinsi gani moyo wangu ulivyo na furaha na upendo juu yako ila hilo haliwezekani isipokuwa maneno na matendo yangu kwako yatadhihirisha hilo.
Nimekupenda, ninakupenda, nitaendelea kukupenda daima kwani nikiangalia mashariki na magaharibi, kaskazini na kusini sioni mwenye upendo kama wewe.
Wewe ni lulu kwangu mwenye thamani kubwa moyoni mwangu, nakutunza moyoni mwangu uketi upate furaha, faraja na upendo.
I LOVE YOU moneytalk
Unaniachaje kwa mfanoKhaaaa
Acha nikuache
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwifwa aliniambia kuwa anataka chura![emoji20][emoji20][emoji20]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha
Meshangaa sana
Shenzy zako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] juu ya wapi jamanii!! Nisijesema huna kumbe unayo
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji16] [emoji16] [emoji1] [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana wewe wa kutoniamini mm kuchunga mzigo lazima mama nyakunyaku kila sehemu
Mh basi niliwekwa nilikuwa nimelala au aliwekwa mwingine alivaajeUliwekwa kidogo tu achana na kanye west
Acha hizo mdogo wanguSina mkanda wowote mie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]My swi huyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Upendo wa dhati bila chura ni sawa na pilau bila kachumbari!![emoji20][emoji20][emoji20][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Upendo wa dhati ndio mpango mzima mkuu
HahahaWeeeeh unaanzaje kulala na mm siko single mie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee kwa maneno haya nafikiri huyo moneytalk atakua ashatupa chupi [emoji160] [emoji160] [emoji160] mbali sana anaona kama inambana mda huu
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]Mkimaliza kupendana hapa haraka mkatafunane, mi sipendi mnapeana mahaba hapa huku hamfanyi mazoezi ya viungo vyenu [emoji13][emoji13][emoji13]
AiseeeHaha toka lini jamani shunie anakudanganya ujue hapendi kutuona tukifurahi pamoja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akirudi mm simo