What Country is Hong Kong in?
China or Not?
By Rory Boland, About.com Guide
See More About:
The world's original international city, many people ask what country is Hong Kong in? The answer isn't as simple as it may seem; with its own money, passports and legal system Hong Kong isn't quite Chinese, but with Chinese flags flying from its buildings and Beijing appointing its chief executive it isn't quite independent. We unravel exactly what country Hong Kong is in.
Until 1997, and the Hong Kong handover, Hong Kong was a colony of the United Kingdom, ruled by a governor. Today, the Hong Kong Special Administrative Region (SAR) is a part of China, although this comes with a biblical size of caveats.
Hong Kong's Basic Law, as agreed between China and Britain, means Hong Kong will retain its own currency (the Hong Kong dollar), legal system, and parliamentary system for fifty years. This means, for all practical purposes, Hong Kong is actually a separate country to China.
Visitors to Hong Kong, who usually receive visa free access, will have to apply for a visa to visit China. Chinese nationals also require permits to visit Hong Kong. Hong Kong and China maintain a border. China maintains a sort of quasi embassy in Hong Kong via the Chinese ministry of foreign affairs.
The Chinese Reminibi is not accepted in Hong Kong, expect in a handful of stores. The Hong Kong dollar is not legal tender in China.
Hong Kong has a wholly separate legal system to China.
Hong Kongers have their own separate passports, the HKSAR passport.
Mrembo by Nature, nashukuru sana kwa elimu ulonipa leo maana nimepata mwanga wa kutosha ktk medani za kimataifa.
Aisee kwa mujibu wa hizo article ulizoni-direct nimewaonea huruma sana watu wa Hong Kong. Hii inatokana na wao kuwa kati ya mifumo miwili inayokinzana, yaani mfumo wa kibepari wa UK na mfumo wa kijamaa wa China. Na ukisoma kwa undani zaidi hizo article utagundua kua kwa sasa wa-Hong Kong wataendelea kuwa chini ya mifumo hiyo kwa muda wa miaka takribani 36 ijayo (kwa mujibu wa masharti yaliyomo kwenye Basic Law pamoja na Hong Kon hand over ya mwaka 1997).
Ukiingia kwa undani zaidi utakuta wa-Hong Kong wamechukua baadhi ya mambo mazuri toka mfumo wa kibepari na baadhi ya mambo mazuri toka mfumo wa kijamaa lakini pamoja na hayo hawataki kabisa kuwa chini ya China ambayo inakumbatia mfumo wa kijamaa wakati huohuo China nayo inaimendea Hong Kong ili kuirudisha ndani ya China.
Mkanganyiko unaongezeka nilipoona Hong Kong wanaamuliwa na Beijing kuhusu nani aitawale. Lakini uzuri uliopo kwa sasa ni kua Hong Kong inajitegemea ktk masuala ya kiutawala ya ndani kama sheria na mengineyo as Hong Kong ni Special Administrative Region (SAR) kama ilivyo Taiwan ila kikwazo ni pale inapotaka kutoka kumataifa lazima itumie China kama nchi.
Huruma zaidi inakuja pale itakapoisha hiyo miaka 50 iliyoainishwa na Basic Law (kwa sasa imebaki miaka 36) ambapo China (inayofuata mfumo kamili wa kijamaa ambao hautakiwi kabisa Hong Kong) itataka kuirejesha Hong Kong mikononi mwake na matokeo yake kuna uwezekano wa kuibuka mvutano kati ya Hong Kong na China kila mmoja akitetea matakwa yake, yaani Hong Kong itataka iwe na uhuru kamili kama nchi wakati huohuo China itataka kuirejesha mikononi mwake. Kazi ipo.
Sasa nimeelewa kwa nini binti kiziwi hakunyongwa ila kama angekamatiwa miji kama Beijing, Ghuanzhou, Tianjin au Shanghai basi kifo kingemhusu.
Kwa mara nyingine nasema asante sana Mrembo by Nature kwa elimu hii, yaani zamani nikajua Hong Kong ni mji unaomilikiwa na China moja kwa moja kumbe sivyo. Kweli nimepata mwanga wa kutosha.