M23 yawataka walioiba mali za watu kuhakikisha zinarudishwa.

Jana nimeona Breweries ya Bralima Bukavu Wananchi waliingia na kujibebea makreti ya Primus wakawa wanalewa na kuishangilia m ventrwaa 😁
 
Inaonekana kongo kila mtu mwizi?
Sasa jamani, nchi kama haina mwenyewe, unategemea nini! Mbabe ndo hivo. Mwanajeshi ilikuwa mkikutana, kitu cha thamani ulicho nacho unatoa, ukizubaa unalamba shaba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…