M23 yawatangaza Gavana na manaibu Gavana wa Kivu kusini

M23 yawatangaza Gavana na manaibu Gavana wa Kivu kusini

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Kundi la AFC/M23, leo 28 February 2025, limewatangaza viongozi wapya wa jimbo la Kivu kusini, ambao ni

• Bwana BIRATO RWIHIMBA Emmanuel, Gavana wa jimbo
• Bwana DUNIA MASUMBUKO BWENGE, Naibu gavana wa mambo ya siasa, uongozi na sheria.
• Bwana GISHINGE GASINZIRA Juvénal, Naibu gavana wa uchumi na maendeleo.

Viongozi wakuu wa AFC/M23 pia wamewatembelea majeruhi wa milipuko ya jana wakati wa mukutano wa hadhara, na wameahidi kugharamia mazishi ya waliopoteza maisha, kugharamia matibabu ya majeruhi wanaonendelea na matibabu, na kusaidia familia zao kuendesha maisha ya kila siku wakati hawa wote wakiwa bado mikononi mwa wahudumu wa afya.

1740759443836.png

1740759461331.png
 
Kundi la AFC/M23, leo 28 February 2025, limewatangaza viongozi wapya wa jimbo la Kivu kusini, ambao ni

• Bwana BIRATO RWIHIMBA Emmanuel, Gavana wa jimbo
• Bwana DUNIA MASUMBUKO BWENGE, Naibu gavana wa mambo ya siasa, uongozi na sheria.
• Bwana GISHINGE GASINZIRA Juvénal, Naibu gavana wa uchumi na maendeleo.

Viongozi wakuu wa AFC/M23 pia wamewatembelea majeruhi wa milipuko ya jana wakati wa mukutano wa hadhara, na wameahidi kugharamia mazishi ya waliopoteza maisha, kugharamia matibabu ya majeruhi wanaonendelea na matibabu, na kusaidia familia zao kuendesha maisha ya kila siku wakati hawa wote wakiwa bado mikononi mwa wahudumu wa afya.

View attachment 3253396
View attachment 3253398
Hatari sana serikali ndani ya serikali sijui watafanyaje kazi hapo
 
Mkuu haya mambo yamekaa vipi? Ina maana mwisho wake utakuwa nini? Na hao viongozi wanachaguliwa na nani? Au ni muendelezo wa waliokuwepo mwanzo?
Hapo ni kwamba hilo eneo si la serikali tena, hata maongezi yakiwepo, hapo lazima uongozi uwe wa M23,inaouamini yenyewe. Imeshindikana, kipande hicho kinamegwa na kujitenga.
 
Kundi la AFC/M23, leo 28 February 2025, limewatangaza viongozi wapya wa jimbo la Kivu kusini, ambao ni

• Bwana BIRATO RWIHIMBA Emmanuel, Gavana wa jimbo
• Bwana DUNIA MASUMBUKO BWENGE, Naibu gavana wa mambo ya siasa, uongozi na sheria.
• Bwana GISHINGE GASINZIRA Juvénal, Naibu gavana wa uchumi na maendeleo.

Viongozi wakuu wa AFC/M23 pia wamewatembelea majeruhi wa milipuko ya jana wakati wa mukutano wa hadhara, na wameahidi kugharamia mazishi ya waliopoteza maisha, kugharamia matibabu ya majeruhi wanaonendelea na matibabu, na kusaidia familia zao kuendesha maisha ya kila siku wakati hawa wote wakiwa bado mikononi mwa wahudumu wa afya.

View attachment 3253396
View attachment 3253398
Wanyarwanda hao..
 
MamaSamia 2025 hapa kwenye hii barua ni sisi tu tunatoboa.

Le francais l'etudier lire. C'est tres bien.

Salut. Bonne nuit
Kundi la AFC/M23, leo 28 February 2025, limewatangaza viongozi wapya wa jimbo la Kivu kusini, ambao ni

• Bwana BIRATO RWIHIMBA Emmanuel, Gavana wa jimbo
• Bwana DUNIA MASUMBUKO BWENGE, Naibu gavana wa mambo ya siasa, uongozi na sheria.
• Bwana GISHINGE GASINZIRA Juvénal, Naibu gavana wa uchumi na maendeleo.

Viongozi wakuu wa AFC/M23 pia wamewatembelea majeruhi wa milipuko ya jana wakati wa mukutano wa hadhara, na wameahidi kugharamia mazishi ya waliopoteza maisha, kugharamia matibabu ya majeruhi wanaonendelea na matibabu, na kusaidia familia zao kuendesha maisha ya kila siku wakati hawa wote wakiwa bado mikononi mwa wahudumu wa afya.

View attachment 3253396
View attachment 3253398
 
Ninachowapendea waasi soon wanakiwasha tena wanapinduana wenyewe kwa wenyewe..!!
 
Hapo Nangaa na Bisimwa kazi ipo.Vinginevyo waaminiane sana
 
Hii kitu inayoitwa AU ni zigo la
💩💩 bora ife tuu, then Africa tuigawe vipande 6, East, west, south, north and central
Nchi mwanachama wa AU anakuwa na serikali 2 ndani ya nchi moja
Ina maana AU wanashindwa kuwadhibiti mk23 na Rwanda au wawakalishe chini
 
Back
Top Bottom