Ma boyfriends wa mke wako mtarajiwa wapo kwenye group lako la harusi na wanachanga

Ma boyfriends wa mke wako mtarajiwa wapo kwenye group lako la harusi na wanachanga

fareed uziel

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
657
Reaction score
710
Kama kichwa cha uzi kinavosema. Usasa na utandawazi umewafanya watu kua open sana.

Usikute huyo mchumba wako akiwa serious kuolewa na wewe anawaaga ma boyfriends wake kiroho safi na kuwaelezea kua mi ndio naolewa ila urafiki wetu ubaki(kwa akili za wanawake) so sababu na wanaume wa kisasa wapo open minded wanakubali na kuwish her good na kuahidi hata michango kutoa,the bond is soo strong for them.

Wakaachana kiroho safi na nyie mkaoana. Ndoa tamu kila mmoja kisha move on mnapendana kinoma ila kaa ukijua wewe Mume upo kwenye huruma ya wale wanaume wake wa mwanzoni kama wale wakiheshimu ndoa yake basi upo salama na kama wale wasipoheshimu basi ni rahisi kumteka kihisia na mke wako anakua very comfortable kufunga mambo yake personal kuhusu wewe kwa wale. Have a good day fellow comrades 🫡
 
Kama ke ajakubali ku move on na penzi la ex wake kwa hesabu za kihasibu ni hasara tupu.

Hata mwezi haujaisha kuna dada kaolewa alikuwa ni ex gf wa classmate/jamaa yangu, walishaachana miaka 4 imepita ila mwanamke humwambii kitu kuhusu jamaa. Nilishuhudia kwa macho yangu siku mbili kabla ya ndoa jamaa anakula nae maisha, hadi nilimuonea huruma mwamba anaeoa. Mwanamke hajakubali yaishe na mwamba.
 
Kama kichwa cha uzi kinavosema. Usasa na utandawazi umewafanya watu kua open sana.

Usikute huyo mchumba wako akiwa serious kuolewa na wewe anawaaga ma boyfriends wake kiroho safi na kuwaelezea kua mi ndio naolewa ila urafiki wetu ubaki(kwa akili za wanawake) so sababu na wanaume wa kisasa wapo open minded wanakubali na kuwish her good na kuahidi hata michango kutoa,the bond is soo strong for them.

Wakaachana kiroho safi na nyie mkaoana. Ndoa tamu kila mmoja kisha move on mnapendana kinoma ila kaa ukijua wewe Mume upo kwenye huruma ya wale wanaume wake wa mwanzoni kama wale wakiheshimu ndoa yake basi upo salama na kama wale wasipoheshimu basi ni rahisi kumteka kihisia na mke wako anakua very comfortable kufunga mambo yake personal kuhusu wewe kwa wale. Have a good day fellow comrades 🫡
Seen.
 
Kama ke ajakubali ku move on na penzi la ex wake kwa hesabu za kihasibu ni hasara tupu.

Hata mwezi haujaisha kuna dada kaolewa alikuwa ni ex gf wa classmate/jamaa yangu, walishaachana miaka 4 imepita ila mwanamke humwambii kitu kuhusu jamaa. Nilishuhudia kwa macho yangu siku mbili kabla ya ndoa jamaa anakula nae maisha, hadi nilimuonea huruma mwamba anaeoa. Mwanamke hajakubali yaishe na mwamba.
Aisee
 
SIjui kwanini haya mambo ya ndoa mnayachukulia serious sana
Hahhaa wengi hatuchukulii serious,wala usijione specials sana ukiwa huoni Ndoa ni serious.

Ndoa ni mfumo wa kimaisha ambao kwa karne na millenia ulifanya kazi ipasavyo kwa kuanzisha familia na ustaarabu. Japo kipindi hili taasisi ya ndoa sio msingi sana kuanzisha familia haimaniishi binaadamu wengine hatuamini.

Mimi bado ni muumini mzuri wa familia iliyo imara ambapo Baba na Mama mnaoana na kuzaa pamoja na kuzeeka pamoja.
 
Back
Top Bottom