Ma HOUSE GIRL

tangu desemba mwaka jana dada yangu anatafuta housegerl amekosa, wamekuwa wa shida sana, tangu lowasa aje na mpango washule za kata basi ni tabu sana aliyefel la saba atakuambia nasubiria second selection kazi kweli kweli, tulipokuwa tunategemea Iringa dodoma singida na kwingneko hawapo na ukipata wamepanda bei sana! kama unae shukuru mungu na mtunze vizuri zaidi ya mwanao
kama utafikiria kumtesa/kumnyanyasa kumbuka kisa cha yule aliyemfungia mtoto mchanga knye frige akafa na kuwa barafu.
 
For sure mi nimefanya sana na Mahaus gel yaani nkumbuka kama watatu hv ndo walionifunza huu mchezo mbaya na nawakumbuka wote.Thanks for welcoming me in this good world.


mkuu hilo halina pingamizi wavulana wengi wametolewa bicra na mahouse gerl either nyumbani kwao au house gel wa jirani, pamekuwa ndio sehemu ya kujifunzia na kupata stata!
 
reserve wazuri sana.wachezaji wenyewe wakiwa majeruhi wanacheza fresh tu...wanatisha sana
 

Kweli DA, hivi vi msimbazi msimbazi tuviache jamani, tuwape misimbazi kadhaa. Ndio maana ma House girl wengi wanaamua kujiongezea kipato kwa muuza genge mtaa wa pili
 

You are right mydear!
 

Wa ukweli hilo tatizo nimelisikia kwa watu wengi sana itabidi tuanze kutafuta ma Hg wenye umri mkubwa
 
Kweli DA, hivi vi msimbazi msimbazi tuviache jamani, tuwape misimbazi kadhaa. Ndio maana ma House girl wengi wanaamua kujiongezea kipato kwa muuza genge mtaa wa pili

Ni kweli Elia na kuwasomesha angalau Red Cross anaanzia huko atafika mbele kuna mmoja wa kwangu sasa hivi anafanya degree ya Nursing Muhimbili alianzia Red Cross sasa hivi kafika huko.

Huyu wa sasa anasoma IT na English anapenda sana hiyo field mwezi ujao anamaliza certificate aanze Diploma natumaini atafika atakako.

Tuwaendeleze wajameni tutabarikiwa na Mungu
 
Mwanangu hapo penye nyekundu!!, mmh!!! Je pia alikufundisha na ukakamavu wa naniiiiii??????, tehe tehe tehe tehe!!!! Kweli ulipata hausi gero mzuri na inavyoonekana ulikuwa ukiombea baba na mama wasiwepo nyumbani ili ufundishwe!!!!!

teh teh teh, ha ha ha aaaaa! no no no sio ukakamavu huo!
 
sasa hivi kuna mmama anauza wasichana wa kazi kutokana na maelezo yake anawachukua Iringa na dodoma then anawafundisha ukimtaka atakuambia umpe laki moja ya nauli then mshahara utamlipa huyo binti kutokana na makubaliano yenu, ila nimegundua hawa wasichana wa huyu mama ni wasanii sana wiki ya kwanza atajidai mshamba fulani kumbe anakusoma wengine ni machangu wakomavu wanaigiza siku umekaa vibaya wanakuliza ukirudi kwa yule mama anakuambia yeye aliletewa na dereva wa basi hajui kwao so ledz & gentaman kuweni makini na binti usiyejua background yake!
 

Digna, this is Impressive story, nimependa how you handled the senario. Big up
 
Duh sio wote wa kupongezwa mm kunaambae nimemtoa alivuta afya akapendeza nikienda kazini anajipodoa naye anatoka anaenda kugig gig mpk basi
 
duh sio wote wa kupongezwa mm kunaambae nimemtoa alivuta afya akapendeza nikienda kazini anajipodoa naye anatoka anaenda kugig gig mpk basi

hiyo ni haki yake ya msingi usimnyime raha au wataka yeye asifaidi utamu wa kugig gig? Kama age inaruhusa mpe nafasi
 
big up kaka Elia!!

nawapa pongezi wa dada woteeeeeeeeeeee!!!
 
Duh sio wote wa kupongezwa mm kunaambae nimemtoa alivuta afya akapendeza nikienda kazini anajipodoa naye anatoka anaenda kugig gig mpk basi

Ulikuwa unampa mshahara wa kutosha? inawezekana ilimbidi kutafuta part time.:spider:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…