Asilimia 95 ya the so called "wanawake wa maofisini" regardless ana cheo gani wanafanya ngono na wafanyakazi wenzao wa kiume... Kwahiyo CTU, piga moyo konde, maisha ndivyo yalivyo...
Source: Mimi mwenyewe - baada ya kuafanya utafiti wa miaka 20!
wangapi tuna kazi nzuri hatujawahi kumegwa kuanzia mashuleni hadi kwenye ajira na vyeo tunapanda?
kiukweli asilimia kubwa ya ma HR wa maofisini (SIO WOTE) hasa wa kiume wana tabia moja mbaya sana ya kukagua dada zetu hadi kimwili ndio sawa ana shida lakini sio vizuri kuchukua hiyo advantage kwa kuwaharibu watoto wa watu ninaongea hivi kwa hasira coz wameshanimegea kimeo changu juzi kati inauma sana kwakweli
kwanza pole sana
pili kumegwa ni uamuzi wa mtu, wangapi tuna kazi nzuri hatujawahi kumegwa kuanzia mashuleni hadi kwenye ajira na vyeo tunapanda?
mwanamke anayekubali kumegwa 1. amemtamani hr 2. hajithamini utu wake 3. hajiamini 4.amezoea kugawa ili apate favour fulani
wangapi wana shida ya ajira lakini hawamegwi?
offtopic: najua kipindi cha kutafuta kazi ni kigumu je ulikuwa unampa sapoti KIMEO?
ulijuaje kuwa hr kamtafuna?
Ukisikia umbea ndo huu ishia huko huko wengine hatuko hivyo
Hiko kimeo hakina mapenzi ya dhati na wewe, kisingekubali kudhalilika na kukudhalilisha wewe kwa sababu ya kazi .....
Ukisikia umbea ndo huu ishia huko huko wengine hatuko hivyo
Lizzy inawezekana kaanza kumuitaa kimeo baada ya kuibiwa
kwanza pole sana
pili kumegwa ni uamuzi wa mtu, wangapi tuna kazi nzuri hatujawahi kumegwa kuanzia mashuleni hadi kwenye ajira na vyeo tunapanda?
mwanamke anayekubali kumegwa 1. amemtamani hr 2. hajithamini utu wake 3. hajiamini 4.amezoea kugawa ili apate favour fulani
wangapi wana shida ya ajira lakini hawamegwi?
offtopic: najua kipindi cha kutafuta kazi ni kigumu je ulikuwa unampa sapoti KIMEO?
ulijuaje kuwa hr kamtafuna?
kiukweli asilimia kubwa ya ma HR wa maofisini (SIO WOTE) hasa wa kiume wana tabia moja mbaya sana ya kukagua dada zetu hadi kimwili ndio sawa ana shida lakini sio vizuri kuchukua hiyo advantage kwa kuwaharibu watoto wa watu ninaongea hivi kwa hasira coz wameshanimegea kimeo changu juzi kati inauma sana kwakweli
MPENDWA ! Na iwe hivyo usemavyo but, pigia mstari kwamba hiyo kitu uisemayo kwa initial K ma'ladies hawakuwekewa pale kwa matumizi yao! Users are male FULL-STOP ! Mf. Matiti ya Ng'ombe hayapo pale yalipo kwa matumizi yake!
Ni kwa ajili ya Ndama na Binadamu ndiyo wanywao maziwa! Mwenyewe hanywi ! Tafakari!
kiukweli asilimia kubwa ya ma HR wa maofisini (SIO WOTE) hasa wa kiume wana tabia moja mbaya sana ya kukagua dada zetu hadi kimwili ndio sawa ana shida lakini sio vizuri kuchukua hiyo advantage kwa kuwaharibu watoto wa watu ninaongea hivi kwa hasira coz wameshanimegea kimeo changu juzi kati inauma sana kwakweli
Kumbe ww ni she!!! Hapo juu unamaanisha nn?? yaliyomo yamo au?
Wewe dada una akili sana. Would mind if I take you out for a dinner date tonight? π
Tutajuaje..π