mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,125
- 1,753
Mnamo miaka ya 2000 mziki wa Bongo fleva ulichangamka sana, pia ulichangamshwa kupitia wazalishaji wa muziki (producers) ambao walikuwa na vipaji pamoja na ushindani wa kweli,
kuna baadhi ya maproducer majina yao yalikuwa kutokana na ngoma walizo zalisha pia wasanii wadogo waliotengeneza majina kupitia wao kama Dullayo,
Hawa maproducer wako wapi
-Fundi Samweli
-J Rider
-Jay Eden
-Samtimba
-Kisaka (dawa yao)
-KGT
-Steve White
-Said Comorien
-Shirko
-Lil Ghetto wa Akhenato Record
-John B wa Grandmaster Record
-Dx wa Noiz Mekah
-Q the Don wa MO Record
-Kidbwoy wa Tetemesha Record
-Amba wa AB Music Room
-Allan Mapigo
-Bizman
-TC wa kama kawa record
-Dee Classic
-Duke
List ni ndefu naomba niishie hapo, enzi za muziki ulipoitwa muziki
kuna baadhi ya maproducer majina yao yalikuwa kutokana na ngoma walizo zalisha pia wasanii wadogo waliotengeneza majina kupitia wao kama Dullayo,
Hawa maproducer wako wapi
-Fundi Samweli
-J Rider
-Jay Eden
-Samtimba
-Kisaka (dawa yao)
-KGT
-Steve White
-Said Comorien
-Shirko
-Lil Ghetto wa Akhenato Record
-John B wa Grandmaster Record
-Dx wa Noiz Mekah
-Q the Don wa MO Record
-Kidbwoy wa Tetemesha Record
-Amba wa AB Music Room
-Allan Mapigo
-Bizman
-TC wa kama kawa record
-Dee Classic
-Duke
List ni ndefu naomba niishie hapo, enzi za muziki ulipoitwa muziki