Ma roll modal wa wa wanaume wa Dar

Aneel munawar

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2017
Posts
4,580
Reaction score
8,141
baada ya kuibuka upinzani mkali kati ya wanaume wa dar na wanaume wa mikoani, na tuhuma nyingi kuwaangukia
wanaume wa dar,tuhuma izo kwa wanaume wa dar ni kama:
1.kukojoa ndani ya makopo kwa kuogopa panya road
2.kuvaa shumizi joto linapozidi
3.kuvaa bikini ili kuendana na fashion
nk.

BAADA YA TUHUMA IZO WANAUME WA DAR WAMEAMUA kuonyesha wako STRONG..NA HAWA HAPA NI WAWAKILISHI WAO;View attachment 704247View attachment 704244View attachment 704246View attachment 704248
 
Davto hapo ndo queen wao yaaan kamaliza mji mzima viongozi.na vigogo masupastar ndo usiseme james mchafu tu kama wachafu wengine anaokoteza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…