Ma roll modal wa wa wanaume wa Dar

Embu tuachieni wanaume zetu basi. Wanaume wa Dar wanaume wa Dar. Wanawake zenu wenyewe wanawazimikia wanaume zetu. Wapeni break alaa
mkuu ndo wawakilshi hao...naskia hao .ndo "top strongest men in daslam"
 
Huyu Juma Mpemba yupo Iringa, sijasikia umeenda Dsm hivi karibuni, haya umeyapata wapi?
 
Kuna Mzee nilishawahi kuzungumza nae na akanishauri kuwa "kjana tafuta mke uoe lkn jitahd usizae kwa kuwa watoto huwa wana hasara sana in terms of cash,time and mind"
Skumuelewa huyo mzee by then lkn leo ndyo nimemuelewa!
 
Kuna Mzee nilishawahi kuzungumza nae na akanishauri kuwa "kjana tafuta mke uoe lkn jitahd usizae kwa kuwa watoto huwa wana hasara sana in terms of cash,time and mind"
Skumuelewa huyo mzee by then lkn leo ndyo nimemuelewa!
hahaaaaA..unabusara sanaa muhengaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…