Maaajabu ya mkoa wa Songwe

Maaajabu ya mkoa wa Songwe

Njaa kali30

Member
Joined
Jul 18, 2021
Posts
47
Reaction score
28
Mkoa wa Songwe ni mojawapo ya mikoa inayopatikana kusini mwa Tanzania. Moa huu ulipatikana baada ya kugawanywa mkoa wa wa mbeya. Maaajabu ya mkoa ni kuwana miundo mibovu ya barabara. Mfano barabara inayotoka Mbalizi kwenda Mkwajuni wakati wa masika huwa haipitiki kabisa kutokana na madaraja kufulika na pia kujaaa maji bivyo kusababisha miundo mbinu kuwa mibovu na kusababisha adha kwa wananchi.

Serikali imetoa ikitoa pesa nyingi kwa ajili ujenzi wa barabara lakini kinachofanyika nikukarabati fasta na juu ili mwaka mwingine tena wakarabati.Hii inaifanya serikali kutumia pesa nyingi kwa ajili ya ukarabati. Naweza kutolea mfano mdogo kwenye ujenzi wa zahanati katika mawilaya na mashule. Mfano katika ujenzi nyingi zimejegwa chini ya kiwango kwa sababu ya upigaji uliokithiri. Mfano katika halmashauri ya wilaya ya songwe pesa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa, ofisi na maabara katika mashule zimeingizwa kwenye akauti ya wakuu wa shule na walimu wakuu.

Hivyo kuwafanya wenyewe ndio wanunuzi wa vifaaa vya ujenzi , wenyewe ndio watafuta mafundi wajenzi, wenyewe ndio wasimamizi ikumbukwe shule nyingi hazina bodi ya shule na kusababisha miradi hiyo kuwa chini ya kiwango. Ikumbukwe kila mtu anatamaa ya pesa wengi wao huishia kula hizi pesa husema hata mambo yakibalaluka hawana la kunifanya dhidi ya kunihamisha. Nimeshuhudia kwa macho yangu mtu anapewa pesa ya ujenzi 180m kwa ajili ya ujenzi wa bwalo la chakula akila zaidi ya 100m yeye pamoja na wakaguzi wake akaishia kuhamishwa kituo (rose) na haya ni makosa ambayao yanafanyika sana katika mkoa wetu wa Songwe mfano katika wilaya moja ya songwe kuna ujenzi wa zahanati na muhusika keshaingiziwa zaidi ya 40m sasa hivi yuko busy kutafuta mafundi na anasema hataki mainjinia wa halmashauri kwa sababu watamuwekea uzibe,mafundi yeye ununuzi wa vifaaa yeye, Sasa kama mkoa hatuwezi fika popote kama tukiendelea kuwachekea watu hawa wenye tamaaa zoa, Nimewahi kufika kwenye ukaguzi wa miradi nilioyaona yanatia kinyaaa sio ya kusimulia.


My take: serikali ingalie mkoa huu kwajicho la pekeee ni mkoa ambao unapata fedha nyingi kutoka serkalini lakini mwisho wa siku huishia matumboni kwa watu. Ombi kwa wakurugenzi wapya walioteuliwa waingie field wasikae maofisini hasa wilaya mpyaya songwe kuna upigaji mkubwa unaendelea kw a kwa baadhi ya watendaji wasio waaadilifu. Tamisemi ummy mwalimu pita huku ujioneee wezi wanavyotafuna pesa za umma
 
Hii Nchi ina MCHWA wengi sana! Na siyo huko Songwe tu! Ni Nchi nzma!! Watu wanapiga tu! Hata enzi za Magufuli aliye jipambanua kama mtumbua majipu, bado watu walipiga tu! Tena wapigaji wengine walikuwa ni wale watu wake wa karibu.

Na hili tatizo halipo Tanzania tu, ni tatizo la watu wenye rangi nyeusi kote duniani! Huku wale wa Bara la Afrika, wakiongoza.
 
Tozo za kununua v8 ajili yao hizo barabara geresha tu ......bajeti hai balance hata bakuli liligoma pia
 
Nchi ni hatari tuendelee kuchangia tozo
Mkoa wa Songwe ni mojawapo ya mikoa inayopatikana kusini mwa Tanzania. Moa huu ulipatikana baada ya kugawanywa mkoa wa wa mbeya. Maaajabu ya mkoa ni kuwana miundo mibovu ya barabara. Mfano barabara inayotoka Mbalizi kwenda Mkwajuni wakati wa masika huwa haipitiki kabisa kutokana na madaraja kufulika na pia kujaaa maji bivyo kusababisha miundo mbinu kuwa mibovu na kusababisha adha kwa wananchi.

Serikali imetoa ikitoa pesa nyingi kwa ajili ujenzi wa barabara lakini kinachofanyika nikukarabati fasta na juu ili mwaka mwingine tena wakarabati.Hii inaifanya serikali kutumia pesa nyingi kwa ajili ya ukarabati. Naweza kutolea mfano mdogo kwenye ujenzi wa zahanati katika mawilaya na mashule. Mfano katika ujenzi nyingi zimejegwa chini ya kiwango kwa sababu ya upigaji uliokithiri. Mfano katika halmashauri ya wilaya ya songwe pesa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa, ofisi na maabara katika mashule zimeingizwa kwenye akauti ya wakuu wa shule na walimu wakuu.

Hivyo kuwafanya wenyewe ndio wanunuzi wa vifaaa vya ujenzi , wenyewe ndio watafuta mafundi wajenzi, wenyewe ndio wasimamizi ikumbukwe shule nyingi hazina bodi ya shule na kusababisha miradi hiyo kuwa chini ya kiwango. Ikumbukwe kila mtu anatamaa ya pesa wengi wao huishia kula hizi pesa husema hata mambo yakibalaluka hawana la kunifanya dhidi ya kunihamisha. Nimeshuhudia kwa macho yangu mtu anapewa pesa ya ujenzi 180m kwa ajili ya ujenzi wa bwalo la chakula akila zaidi ya 100m yeye pamoja na wakaguzi wake akaishia kuhamishwa kituo (rose) na haya ni makosa ambayao yanafanyika sana katika mkoa wetu wa Songwe mfano katika wilaya moja ya songwe kuna ujenzi wa zahanati na muhusika keshaingiziwa zaidi ya 40m sasa hivi yuko busy kutafuta mafundi na anasema hataki mainjinia wa halmashauri kwa sababu watamuwekea uzibe,mafundi yeye ununuzi wa vifaaa yeye, Sasa kama mkoa hatuwezi fika popote kama tukiendelea kuwachekea watu hawa wenye tamaaa zoa, Nimewahi kufika kwenye ukaguzi wa miradi nilioyaona yanatia kinyaaa sio ya kusimulia.


My take: serikali ingalie mkoa huu kwajicho la pekeee ni mkoa ambao unapata fedha nyingi kutoka serkalini lakini mwisho wa siku huishia matumboni kwa watu. Ombi kwa wakurugenzi wapya walioteuliwa waingie field wasikae maofisini hasa wilaya mpyaya songwe kuna upigaji mkubwa unaendelea kw a kwa baadhi ya watendaji wasio waaadilifu. Tamisemi ummy mwalimu pita huku ujioneee wezi wanavyotafuna pes
 
Huku kuna wizi wa pesa balaaaa mtu analipwa 20m kwa ajili ya ukarabati wa maaabara tena pesa hizo zimelipwa kwenye akaunti mkuu wa kituo kaponda you nailed your profession. Kwanini unawapendelea madem zako
 
Daaah tutakoma serikali isimamie huu uhuni usijitokeze
 
Mbalizi ni mkoa wa Mbeya wewe unawalaumu mkoa wa Songwe tu,ingiza wote kwenye lawama zako ili utende haki.
 
Mkoa wa Songwe ni mojawapo ya mikoa inayopatikana kusini mwa Tanzania. Moa huu ulipatikana baada ya kugawanywa mkoa wa wa mbeya. Maaajabu ya mkoa ni kuwana miundo mibovu ya barabara. Mfano barabara inayotoka Mbalizi kwenda Mkwajuni wakati wa masika huwa haipitiki kabisa kutokana na madaraja kufulika na pia kujaaa maji bivyo kusababisha miundo mbinu kuwa mibovu na kusababisha adha kwa wananchi.

Serikali imetoa ikitoa pesa nyingi kwa ajili ujenzi wa barabara lakini kinachofanyika nikukarabati fasta na juu ili mwaka mwingine tena wakarabati.Hii inaifanya serikali kutumia pesa nyingi kwa ajili ya ukarabati. Naweza kutolea mfano mdogo kwenye ujenzi wa zahanati katika mawilaya na mashule. Mfano katika ujenzi nyingi zimejegwa chini ya kiwango kwa sababu ya upigaji uliokithiri. Mfano katika halmashauri ya wilaya ya songwe pesa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa, ofisi na maabara katika mashule zimeingizwa kwenye akauti ya wakuu wa shule na walimu wakuu.

Hivyo kuwafanya wenyewe ndio wanunuzi wa vifaaa vya ujenzi , wenyewe ndio watafuta mafundi wajenzi, wenyewe ndio wasimamizi ikumbukwe shule nyingi hazina bodi ya shule na kusababisha miradi hiyo kuwa chini ya kiwango. Ikumbukwe kila mtu anatamaa ya pesa wengi wao huishia kula hizi pesa husema hata mambo yakibalaluka hawana la kunifanya dhidi ya kunihamisha. Nimeshuhudia kwa macho yangu mtu anapewa pesa ya ujenzi 180m kwa ajili ya ujenzi wa bwalo la chakula akila zaidi ya 100m yeye pamoja na wakaguzi wake akaishia kuhamishwa kituo (rose) na haya ni makosa ambayao yanafanyika sana katika mkoa wetu wa Songwe mfano katika wilaya moja ya songwe kuna ujenzi wa zahanati na muhusika keshaingiziwa zaidi ya 40m sasa hivi yuko busy kutafuta mafundi na anasema hataki mainjinia wa halmashauri kwa sababu watamuwekea uzibe,mafundi yeye ununuzi wa vifaaa yeye, Sasa kama mkoa hatuwezi fika popote kama tukiendelea kuwachekea watu hawa wenye tamaaa zoa, Nimewahi kufika kwenye ukaguzi wa miradi nilioyaona yanatia kinyaaa sio ya kusimulia.


My take: serikali ingalie mkoa huu kwajicho la pekeee ni mkoa ambao unapata fedha nyingi kutoka serkalini lakini mwisho wa siku huishia matumboni kwa watu. Ombi kwa wakurugenzi wapya walioteuliwa waingie field wasikae maofisini hasa wilaya mpyaya songwe kuna upigaji mkubwa unaendelea kw a kwa baadhi ya watendaji wasio waaadilifu. Tamisemi ummy mwalimu pita huku ujioneee wezi wanavyotafuna pesa za umma
Muhusika naomba unifahamishe, inakuwaje mkoa wa Songea una wakazi wengi Wasukuma? Jee wana asili ya huko? Ama ni wahamiaji?

Na walikwenda lini huko? Inaonekana watawameza wenyeji wenye asili ya huko muda si mrefu ujao.
 
Ngoja tunazisubiri hizo pesa za tozo tuzipige nahisi ntaagiza na gari japani. 250m nikosemo hata 30m ntakuwa kichaaa najua mafundi natafuta mwenyewe, wazawa wa eeneo husika vifaaa nanunua mwenyewe halafu akija injinia (mkaguzi) najua tutakavyopozana.
 
Back
Top Bottom