Maabara

babo

Senior Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
194
Reaction score
23
Wanajamii naomben mnijuz,mtu asiye fauru biology,anawez kujiunga na chuo maabara kwa ngazi ya awali,akipata sifa aendelee na ngaz ya cheti,anaejua anijuze
 
Kama ulishindwa biology maana yake utaweza kujifunza hayo maswala tafta fan yako.
 
Ndugu maabara is the pure science huwezi kuisomea kama hujafauru PCB na si kwa maabara tu sasa wizara haikuchagui kwa kozi yoyote ya sayansi kama hukufanya vizuri masomo hayo pole sana tafakari na chukua hatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…