Hii nchi unaweza kudhani watu wamesoma basi wana akili timamu, lakini la hasha!
Kitendo cha hawa watu wa sheria kupiga muziki mkubwa kiasi cha kuondoa utulivu kwa jinsi muziki ulivyo mzito, kinaashiria aina ya watu waliojaa ukanda huu wa Afrika ni wa aina gani.
Hapo inapigwa miziki ya siku hizi ya vijana wa hovyo wasiojitambua,kwa wengine ni kero kubwa sana. Kuna hizi amapiano baadhi tunaziona zipo kuburudisha kizazi kisichofikiri, kizazi cha wahuni , machawa na wenye kiu ya ngono na kufanya uhalifu .
Ninasikitishwa sana na hii tabia inaweza kufanywa na wanasheria tena wakijiita wasomi.Inasikirisha sana,maana hapa nina mzee mgonjwa sauti ina msumbua sana.
Tulistahili kutawaliwa tena na watu akili timamu
Kitendo cha hawa watu wa sheria kupiga muziki mkubwa kiasi cha kuondoa utulivu kwa jinsi muziki ulivyo mzito, kinaashiria aina ya watu waliojaa ukanda huu wa Afrika ni wa aina gani.
Hapo inapigwa miziki ya siku hizi ya vijana wa hovyo wasiojitambua,kwa wengine ni kero kubwa sana. Kuna hizi amapiano baadhi tunaziona zipo kuburudisha kizazi kisichofikiri, kizazi cha wahuni , machawa na wenye kiu ya ngono na kufanya uhalifu .
Ninasikitishwa sana na hii tabia inaweza kufanywa na wanasheria tena wakijiita wasomi.Inasikirisha sana,maana hapa nina mzee mgonjwa sauti ina msumbua sana.
Tulistahili kutawaliwa tena na watu akili timamu