Maadili Ligi Kuu

Sheria zinabadirika sana. Nakumbuka zaman mchezaji unavoingia uwanjani lazima uwe umechomekea.
 
Anaficha hirizi kuna siku refa alimwanbia aishushe kuna kitu ilionekana anaficha ila camera ikawahi kuondoa
 
Mbona hukusema Nyoni alipoingia na hereni kuwa alijipamba kumfuata mmewe uwanjani?.
Wachezaji wengi wanavaa hereni kama fashion ,ila kuonyesha viungo ni dalili ya ushoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…