maadili na miiko ya viongozi wa umma katika katiba pendekezwa

maadili na miiko ya viongozi wa umma katika katiba pendekezwa

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,536
tuipigie kura ya ndio katika pendekezwa ambayo imesheheni mambo mengi mazuri ikiwemo maadili ya viongozi na miiko yake

KATIBA PENDEKEZWA NA MIIKO YA UONGOZI WA UMMA


(utii wa miiko ya viongozi wa umma)


30-. (1) Bila ya kuathiri masharti ya kaiba hii, kiongozi wa umma ataheshimu na kutii miiko ya uongozi


(2) Bunge litatunga sheria itayoainisha:


(a) miiko inayopaswa kuzingatiwa na miiko ya uongozi;


(b) utaratibu wa kumuundoa kazini kiongozi wa umma kutokana na kuvunja miiko na kukiuka maadili ya uongozi wa umma;


(c) vitendo amabvyo kiongozi wa umma hapaswi kuvitenda; na


(d) ngazi au orodha ya viongozi wa umma na sehemu hii.

31.-(1) mtumishi wa umma aliye katika ajira ya kudumu hataruhusiwa kuingia katika ajira ya nyingine yeyote ya kudumu yenye malipo ya mshahara.


(2) Mtumishi wa umma hataruhusiwa kugombea nafasi au kuteuliwa kushika nafasi ya madaraka katika chama cha siasa au nafasi ya madaraka ya kisiasa ya aina yeyote chini ya katiba hii.


(3) Endapo mtumishi wa umma anayefungwa na masharti ya ibala ya 30 (2)(d) ataamua kugombea au atateuliwa kushika;


(a) nafasi ya madaraka ya kisiasa ya aiana yeyote chini ya katiba hii; au
(b) Uongozi wa ngazi yeyote katika chama cha sisa,


Mtumishi huyo atachukuliwa kuwa umtumishi wake umekoma tangu siku ya kuteuliwa kuwa mgombea au kuteuliwa kushika nafasi ya madaraka ya kisiasa au kiuongozi katika chama.
 
tuipigie kura ya ndio katika pendekezwa ambayo imesheheni mambo mengi mazuri ikiwemo maadili ya viongozi na miiko yake

KATIBA PENDEKEZWA NA MIIKO YA UONGOZI WA UMMA


(utii wa miiko ya viongozi wa umma)


30-. (1) Bila ya kuathiri masharti ya kaiba hii, kiongozi wa umma ataheshimu na kutii miiko ya uongozi


(2) Bunge litatunga sheria itayoainisha:


(a) miiko inayopaswa kuzingatiwa na miiko ya uongozi;


(b) utaratibu wa kumuundoa kazini kiongozi wa umma kutokana na kuvunja miiko na kukiuka maadili ya uongozi wa umma;


(c) vitendo amabvyo kiongozi wa umma hapaswi kuvitenda; na


(d) ngazi au orodha ya viongozi wa umma na sehemu hii.

31.-(1) mtumishi wa umma aliye katika ajira ya kudumu hataruhusiwa kuingia katika ajira ya nyingine yeyote ya kudumu yenye malipo ya mshahara.


(2) Mtumishi wa umma hataruhusiwa kugombea nafasi au kuteuliwa kushika nafasi ya madaraka katika chama cha siasa au nafasi ya madaraka ya kisiasa ya aina yeyote chini ya katiba hii.


(3) Endapo mtumishi wa umma anayefungwa na masharti ya ibala ya 30 (2)(d) ataamua kugombea au atateuliwa kushika;


(a) nafasi ya madaraka ya kisiasa ya aiana yeyote chini ya katiba hii; au
(b) Uongozi wa ngazi yeyote katika chama cha sisa,


Mtumishi huyo atachukuliwa kuwa umtumishi wake umekoma tangu siku ya kuteuliwa kuwa mgombea au kuteuliwa kushika nafasi ya madaraka ya kisiasa au kiuongozi katika chama.

Bora wewe umenena, isome zaidi na kuielewa na wasaidie wengine kuwaelimisha juu ya hili suala muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu.
 
Back
Top Bottom