Maadili ya kazi uliyo nayo

Maadili ya kazi uliyo nayo

BenElohimy

Senior Member
Joined
Sep 21, 2021
Posts
181
Reaction score
222
Ukiona kanisa linageuzwa sehemu ya kuongelea mambo ya siasa , wewe jua tu tatizo siyo waamini bali ni Askofu mwenyewe au mchungaji mwenyewe, na waamini wakajikuta wamekuwa washahabiki wa Mchungaji na siyo wafuasi wa Mungu tena.
#wachungaji na #maaskofu msipoteze kanisa.
 
Ukiona kanisa linageuzwa sehemu ya kuongelea mambo ya siasa , wewe jua tu tatizo siyo waamini bali ni Askofu mwenyewe au mchungaji mwenyewe, na waamini wakajikuta wamekuwa washahabiki wa Mchungaji na siyo wafuasi wa Mungu tena.
#wachungaji na #maaskofu msipoteze kanisa.
Kanisa la kweli sio majengo bali liko rohoni mwako.. Kule kuna maslahi tuu
 
Kanisa la kweli sio majengo bali liko rohoni mwako.. Kule kuna maslahi tuu
Na hili pia ni neno, lakini hilo jengo watu wanalitumia vibaya, ndugu ni kama vile na waamini nao wamekuwa washahabiki hasa kule dsm
 
Back
Top Bottom