Maadili za siku hizi

maadili ya siku hizi......

sio maadili za siku hizi....
 

1. Familia yangu ilikuwa hivyo na shangazi na wajomba wengine walikuwa kama hivyo wengine tofauti na hivyo (hii ina maanisha kuwa hakukuwa na default values wakati huo pia).

Enzi hizo kuna watu waliamini wasichana wasisome na wengine walitaka wasome ila kidogo, na wengine walitaka wasome sawa na wanaume. Wapo waliowaozesha watoto wao kwa vizee vya miaka mingi wake wa pili, wengine waliamini kuwa wasichana wana haki ya kuishi vile wanavyopenda.
Wapo waliopiga bakora watoto wao kwa makosa wafanyayo wapo waliokuwa hawaijui bakora ni nini maishani mwao

2. Sina kumbukumbu ya hali ilivyokuwa zamani zaidi ya miaka 30. Ila zamani ya miaka 20 nyuma ndio hiyo kuliko na "shoga" na sikumuona kuwa persecuted in any way. Unapozungumzia ku relate na nchi hata sielewi unazungumzia kitu gani hasa.


Kilichobadilika ni kuwa enzi hizo ulikuwa wewe mtoto na sasa wewe ni mlezi kwa hiyo tunataka kujifariji kuwa sisi ulezi wetu mgumu kwa kuwa hakuna default set of values. Hata zamani hazikuwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…