Maafisa TRA wachunguzwe mali wanazozimiliki na vyanzo vya mapato yao kama vinaendana

Maafisa TRA wachunguzwe mali wanazozimiliki na vyanzo vya mapato yao kama vinaendana

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Taasisi nyeti kama hii haziwezi kuongozwa na wahalifu. Vijana wanatumia Sheria mbovu za Kodi kujitajirisha na kuleta adha kubwa kwa uchumi wa nchi na wafanya biashara.

Kulingana na maoni ya watu wengi maafisa wa TRA wamekuwa wakikadiria Kodi kubwa wafanyabiashara nje ya utaratibu ili mfanyabiashara atakaposhindwa aweze kumtafuta na kufanya naye bargain na kulipwa pesa inayokwenda kwenye mfuko wake.

Hii haijakaa sawa kwani inaondoa mapato ya serikali na kupelekea matatizo makubwa ya uchumi kwa wananchi. Imagine kijana analipwa mshahara kwa Kodi hizo hizo za wananchi lakini ananyanyasa walipa Kodi.

Ni wakati sasa wa kuchunguza uhalali wa mali wanazomiliki ili kama wanahujumu uchumi Sheria ichukue mkondo wake. Watumishi wa TRA wamekuwa wababe kama mbogo taasisi ya mipango na fedha imekuwa Kama paramilitary group yote kuwanyang'anya wananchi mali zao.

===

Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
 
Badala ya kutumia nguvu kubwa kufanya hayo ni bora tungewekeza nguvu nyingi kuondokana na mfumo wa kutumia pesa taslim kwenye uchumi wetu na malipo yawe yanafanyika kimtandao kwenye kila kitu.

Hili litasaidia kupata makusanyo sahihi ya kikodi na kuhakikisha kila mtu analipa kodi.
 
Taasisi nyeti kama hii haziwezi kuongozwa na wahalifu. Vijana wanatumia Sheria mbovu za Kodi kujitajirisha na kuleta adha kubwa kwa uchumi wa nchi na wafanya biashara. Kulingana na maoni ya watu wengi maafisa wa TRA wamekuwa wakikadiria Kodi kubwa wafanyabiashara nje ya utaratibu ili mfanyabiashara atakaposhindwa aweze kumtafuta na kufanya naye bargain na kulipwa pesa inayokwenda kwenye mfuko wake. Hii haijakaa sawa kwani inaondoa mapato ya serikali na kupelekea matatizo makubwa ya uchumi kwa wananchi. Imagine kijana analipwa mshahara kwa Kodi hizo hizo za wananchi lakini ananyanyasa walipa Kodi. Ni wakati Sasa wa kuchunguza uhalali wa mali wanazomiliki ili kama wanahujumu uchumi Sheria ichukue mkondo wake. Watumishi wa TRA wamekuwa wababe kama mbogo taasisi ya mipango na fedha imekuwa Kama paramilitary group yote kuwanyang'anya wananchi mali zao.
Unampigia mbuzi gitaa tu kwa nchi hii , kama ripoti ya CAG inayo elezea wizi wa fedha za umma wazi wazi imetupiliwa mbali unadhani nani wa kumchunguza mwenzie?
 
Badala ya kutumia nguvu kubwa kufanya hayo ni bora tungewekeza nguvu nyingi kuondokana na mfumo wa kutumia pesa taslim kwenye uchumi wetu na malipo yawe yanafanyika kimtandao kwenye kila kitu.

Hili litasaidia kupata makusanyo sahihi ya kikodi na kuhakikisha kila mtu analipa kodi.
Mifumo yote ya kulinda mali za umma haiwezi kukubalika nchi hii na hasa kama mfumo huo utagusa wakubwa kubwa huko juu
 
Taasisi nyeti kama hii haziwezi kuongozwa na wahalifu. Vijana wanatumia Sheria mbovu za Kodi kujitajirisha na kuleta adha kubwa kwa uchumi wa nchi na wafanya biashara. Kulingana na maoni ya watu wengi maafisa wa TRA wamekuwa wakikadiria Kodi kubwa wafanyabiashara nje ya utaratibu ili mfanyabiashara atakaposhindwa aweze kumtafuta na kufanya naye bargain na kulipwa pesa inayokwenda kwenye mfuko wake. Hii haijakaa sawa kwani inaondoa mapato ya serikali na kupelekea matatizo makubwa ya uchumi kwa wananchi. Imagine kijana analipwa mshahara kwa Kodi hizo hizo za wananchi lakini ananyanyasa walipa Kodi. Ni wakati Sasa wa kuchunguza uhalali wa mali wanazomiliki ili kama wanahujumu uchumi Sheria ichukue mkondo wake. Watumishi wa TRA wamekuwa wababe kama mbogo taasisi ya mipango na fedha imekuwa Kama paramilitary group yote kuwanyang'anya wananchi mali zao.
Hivi hili swala la kukadiria kodi sijalielewa
Kwanini TRA inakadiria mtu kodi badla ya kumtoza mtu kutoka na aina ya mzigo na uzito wa mzigo mfano kodi ya magari ukiingia kwenye tra calculator unaona kodi kulingana na aina ya gari na mwaka wake simple tu hivyo kwanini kwenye bidhaa nyingine pia wasifanye hivyo..
 
Taasisi nyeti kama hii haziwezi kuongozwa na wahalifu. Vijana wanatumia Sheria mbovu za Kodi kujitajirisha na kuleta adha kubwa kwa uchumi wa nchi na wafanya biashara.

Kulingana na maoni ya watu wengi maafisa wa TRA wamekuwa wakikadiria Kodi kubwa wafanyabiashara nje ya utaratibu ili mfanyabiashara atakaposhindwa aweze kumtafuta na kufanya naye bargain na kulipwa pesa inayokwenda kwenye mfuko wake.

Hii haijakaa sawa kwani inaondoa mapato ya serikali na kupelekea matatizo makubwa ya uchumi kwa wananchi. Imagine kijana analipwa mshahara kwa Kodi hizo hizo za wananchi lakini ananyanyasa walipa Kodi.

Ni wakati sasa wa kuchunguza uhalali wa mali wanazomiliki ili kama wanahujumu uchumi Sheria ichukue mkondo wake. Watumishi wa TRA wamekuwa wababe kama mbogo taasisi ya mipango na fedha imekuwa Kama paramilitary group yote kuwanyang'anya wananchi mali zao.

===

Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024

Mawaziri wala rushwa, mameja wa kanda na mikoa wa TRS ni wala rushwa, maRC na maRPC ni wala rushwa. Nani atakayeweza kuchunguza ulaji rushwa wa maafisa wa TRA? Ukiwa na wakuu wa Serikali wala rushwa, lazima wale wa chini nao watakuwa wala rushwa. Na ulaji rushwa ndani ya Serikali na taasisi yake unakuwa ni utaratibu na maisha ya kila siku. Na hapo ndipo tulipo Tanzania. Kuliondoa hili tatizo ni mpaka siku umma utakaposema sasa imetosha, liwalo na liwe , lakini serikali ya wala rushwa lazima itoke. Bila kufikia hapo, basi tukubali kiwa haya ndiyo maisha yetu ambayo CCM imetuandalia.
 
Taasisi nyeti kama hii haziwezi kuongozwa na wahalifu. Vijana wanatumia Sheria mbovu za Kodi kujitajirisha na kuleta adha kubwa kwa uchumi wa nchi na wafanya biashara.

Kulingana na maoni ya watu wengi maafisa wa TRA wamekuwa wakikadiria Kodi kubwa wafanyabiashara nje ya utaratibu ili mfanyabiashara atakaposhindwa aweze kumtafuta na kufanya naye bargain na kulipwa pesa inayokwenda kwenye mfuko wake.

Hii haijakaa sawa kwani inaondoa mapato ya serikali na kupelekea matatizo makubwa ya uchumi kwa wananchi. Imagine kijana analipwa mshahara kwa Kodi hizo hizo za wananchi lakini ananyanyasa walipa Kodi.

Ni wakati sasa wa kuchunguza uhalali wa mali wanazomiliki ili kama wanahujumu uchumi Sheria ichukue mkondo wake. Watumishi wa TRA wamekuwa wababe kama mbogo taasisi ya mipango na fedha imekuwa Kama paramilitary group yote kuwanyang'anya wananchi mali zao.

===

Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
Umeongea jambo la maana sana!
 
Back
Top Bottom