Maafisa Ubashiri tunaomba pia Rais ukienda Uingereza usitusahau

Maafisa Ubashiri tunaomba pia Rais ukienda Uingereza usitusahau

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Tunampongeza sana Samia kwa kwenda na wenzie huko Korea. Itakuza sana uigizaji katika nchi yetu. Tumeona boda boda nao wameomba akienda India aende nao ili wakajifunze namna bora ya kuendesha boda boda.

Nasisi maafisa ubashiri (Betting Officers) tunaomba sana akipata nafasi ya kwenda England. Asituache. Aende nasi tukajifunze huko namna ya kumpiga au kumchinja Mhindi. Kuna ajira nzuri sana katika ku bet serikali tu inachelewa kuwekeza.

Tunaomba tukapate darsa ili kujifunza namna bora ya kubet bila kuliwa sana.
 
amesema mcheze dabo chansi alafu muweke timu tatu, hamna haja yakwenda uingereza
 
Raisi anasafiri na wasanii? Ety wakafundishwe kuigiza? Inamaana lile movie la Royo Tua halikuuza? Ana mpango atoe lingine kwa ujuzi wa mkorea? Hivi kweli watanzania tuko serious?
Eehh! Mungu ikikupendeza, narudia tena kama ikikupendeza twaomba chukua na huyu.
Utafungwa sasa
 
Raisi anasafiri na wasanii? Ety wakafundishwe kuigiza? Inamaana lile movie la Royo Tua halikuuza? Ana mpango atoe lingine kwa ujuzi wa mkorea? Hivi kweli watanzania tuko serious?
Eehh! Mungu ikikupendeza, narudia tena kama ikikupendeza twaomba chukua na huyu.
likitokea la kutokea usije ukaikimbia id yako ukaja na mpya
 
Tunampongeza sana Samia kwa kwenda na wenzie huko Korea. Itakuza sana uigizaji katika nchi yetu. Tumeona boda boda nao wameomba akienda India aende nao ili wakajifunze namna bora ya kuendesha boda boda.

Nasisi maafisa ubashiri (Betting Officers) tunaomba sana akipata nafasi ya kwenda England. Asituache. Aende nasi tukajifunze huko namna ya kumpiga au kumchinja Mhindi. Kuna ajira nzuri sana katika ku bet serikali tu inachelewa kuwekeza.

Tunaomba tukapate darsa ili kujifunza namna bora ya kubet bila kuliwa sana.
naona neno ofisa linatumiwa vibaya mahali pasipo na muafaka. Mara maofisa usafirishaji kwa maana ya bodaboda je LATRA wataitwaje? Mara maofisa kubashiri, hawa wote ni wahuni na washenzi watupu, mara moja waache kujiita maofisa na waliowapa hadhi hiyo wakome kuwaita hivyo. Wenye hadhi ya kuitwa hivyo wanafahamika ni wasomi walioko kwenye ofisi za umma
 
Kama upendeleo umetolewa kwa wanamuziki na wacheza muvi basi itoshe hivyo, makundi mengine yapambane na hali zao kuboresha shughuli zao
 
naona neno ofisa linatumiwa vibaya mahali pasipo na muafaka. Mara maofisa usafirishaji kwa maana ya bodaboda je LATRA wataitwaje? Mara maofisa kubashiri, hawa wote ni wahuni na washenzi watupu, mara moja waache kujiita maofisa na waliowapa hadhi hiyo wakome kuwaita hivyo. Wenye hadhi ya kuitwa hivyo wanafahamika ni wasomi walioko kwenye ofisi za umma
Bwege wewe. Hujui lolote. SISI NI MAOFISA UBASHIRI. unasemaje dogo bwege?
 
Back
Top Bottom