hauleibrahim
Senior Member
- May 17, 2024
- 183
- 125
Poleni sana wakulima wa Tanzania na michaka michaka ya kilimo na kupambana kujitafuta chakula Cha familia na pesa za kumaliza matatizo ya siku.
Kwa hawa Maafisa Ugani tunaoambiwa huwa wanapewa pikipiki za umma kuja kupitia mashambani kwa umma Kwa wakulima hivi huwa mnafanya nao kazi vipi na wanatatuaga matatizo Kwa kiwango sahihi.
Kama umewahi kuwaita maafisa ugani je ulipata ufumbuzi sahihi wa kinacho kusibu shambani mwako iwe magonjwa au ubora finyu wa mbegu n.k
Swali langu hawa maafisa ugani Kwa kila baada ya mwaka wa kilimo hivi wanairipoti zozote wanazo andika na kuziwakilisha kwenye mkoa kuendana na tafiti za kero za mkulima alizo waitia mashambani ili zifanyiwe ufumbuzi msimu mwingine wakulima wasikwame na changamoto zilizopita.
Kwa hawa Maafisa Ugani tunaoambiwa huwa wanapewa pikipiki za umma kuja kupitia mashambani kwa umma Kwa wakulima hivi huwa mnafanya nao kazi vipi na wanatatuaga matatizo Kwa kiwango sahihi.
Kama umewahi kuwaita maafisa ugani je ulipata ufumbuzi sahihi wa kinacho kusibu shambani mwako iwe magonjwa au ubora finyu wa mbegu n.k
Swali langu hawa maafisa ugani Kwa kila baada ya mwaka wa kilimo hivi wanairipoti zozote wanazo andika na kuziwakilisha kwenye mkoa kuendana na tafiti za kero za mkulima alizo waitia mashambani ili zifanyiwe ufumbuzi msimu mwingine wakulima wasikwame na changamoto zilizopita.