Maafisa Uhamiaji.

Maafisa Uhamiaji.

EJay

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
693
Reaction score
172
Wakuu

Naomba kujua maafisa uhamiaji graduates wanaanzia na mshahara kiasi gani na kozi zipi huwa zinatakiwa ili uwe na sifa za uafisa uhamiaji.

Nawasilisha wakuu.
 
mshahara ni kama 438,000/- kwa kuanzia. lakini uwe tayari kwenda JKT kupiga kwata kwa miezi 6 halafu miezi mitatu utapelekwa TRITA Moshi kwenye chuo cha uhamiaji ukapewe ujuzi kidogo katika masuala mazima ya kuhamia na kuhama nchini
 
mshahara ni kama 438,000/- kwa kuanzia. lakini uwe tayari kwenda JKT kupiga kwata kwa miezi 6 halafu miezi mitatu utapelekwa TRITA Moshi kwenye chuo cha uhamiaji ukapewe ujuzi kidogo katika masuala mazima ya kuhamia na kuhama nchini

kuhamia nchi au kupitisha wahamiaji na mihadarati kama kule kilimanjaro na arusha????
 
mshahara ni kama 438,000/- kwa kuanzia. lakini uwe tayari kwenda JKT kupiga kwata kwa miezi 6 halafu miezi mitatu utapelekwa TRITA Moshi kwenye chuo cha uhamiaji ukapewe ujuzi kidogo katika masuala mazima ya kuhamia na kuhama nchini

asante mkuu na ubarikiwe,je lazima upitie JKT?hiyo miezi mitatu Moshi ntaenda kwa kuwa nasoma Law enforcement kwa sasa.
 
Back
Top Bottom