mshahara ni kama 438,000/- kwa kuanzia. lakini uwe tayari kwenda JKT kupiga kwata kwa miezi 6 halafu miezi mitatu utapelekwa TRITA Moshi kwenye chuo cha uhamiaji ukapewe ujuzi kidogo katika masuala mazima ya kuhamia na kuhama nchini
mshahara ni kama 438,000/- kwa kuanzia. lakini uwe tayari kwenda JKT kupiga kwata kwa miezi 6 halafu miezi mitatu utapelekwa TRITA Moshi kwenye chuo cha uhamiaji ukapewe ujuzi kidogo katika masuala mazima ya kuhamia na kuhama nchini
asante mkuu na ubarikiwe,je lazima upitie JKT?hiyo miezi mitatu Moshi ntaenda kwa kuwa nasoma Law enforcement kwa sasa.