x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 931
- 612
Naomba kujuzwa yafuatayo:
1. Je, unamjua mtu ambeye kabadilishwa kada au kupanda daraja mwaka huu?
2. Hivi ubadilishwaji kada na upandishwaji madaraja unaweza kuendelea hata baada ya mwezi july kupita.
3. Ni hatua zipi mfanyakazi anapitia baada ya kutuma maombi ya kubadilishwa kada.
Hapa mimi natamani kujua zaidi kuhusu kubadilishwa kada, nimeweka na upandishwaji madaraja kwa sababu nasikia vinaenda kwa pamoja.
Shemeji yenu anaoptions mbili moja kuomba uhamisho aje mjini au abadilishwe kada kwa maombi ambayo tayari ameisha omba, kwa kuwa kazi mpya nature yake ni mazingira ya mjini hivyo lazima atanifuata automatically. sasa uhamisho ni mgumu hasa wa kutoka bush kuja town na mchakato wa kubadilishwa kada autabiliki.
1. Je, unamjua mtu ambeye kabadilishwa kada au kupanda daraja mwaka huu?
2. Hivi ubadilishwaji kada na upandishwaji madaraja unaweza kuendelea hata baada ya mwezi july kupita.
3. Ni hatua zipi mfanyakazi anapitia baada ya kutuma maombi ya kubadilishwa kada.
Hapa mimi natamani kujua zaidi kuhusu kubadilishwa kada, nimeweka na upandishwaji madaraja kwa sababu nasikia vinaenda kwa pamoja.
Shemeji yenu anaoptions mbili moja kuomba uhamisho aje mjini au abadilishwe kada kwa maombi ambayo tayari ameisha omba, kwa kuwa kazi mpya nature yake ni mazingira ya mjini hivyo lazima atanifuata automatically. sasa uhamisho ni mgumu hasa wa kutoka bush kuja town na mchakato wa kubadilishwa kada autabiliki.