Haya mambo msichukulie kirahisi.
Si mmeona chebukati hajasema eti wananchi wanataka maji na blah blah nyingine, si mmeona usalama wao wa taifa hawaingilii lolote kuanzia ngazi za chini hadi juu wao kazi ni kusimamia usalama tu.
Wale maafisa ukikutana nao peponi akina chebukati wala sio wa kushangaa lakini hawa wa NEC yaani mahela aende peponi sijui labda maana haiwezekani eti wapinzani hawajui kuandika majina yaani typing error eti wanamuengua mtu yaani unaona kabisa hawa ni motoni moja kwa moja bila maelezo.
Si mmeona chebukati hajasema eti wananchi wanataka maji na blah blah nyingine, si mmeona usalama wao wa taifa hawaingilii lolote kuanzia ngazi za chini hadi juu wao kazi ni kusimamia usalama tu.
Wale maafisa ukikutana nao peponi akina chebukati wala sio wa kushangaa lakini hawa wa NEC yaani mahela aende peponi sijui labda maana haiwezekani eti wapinzani hawajui kuandika majina yaani typing error eti wanamuengua mtu yaani unaona kabisa hawa ni motoni moja kwa moja bila maelezo.