Maajabu! Jiji la Mombasa halina stand ya bus

the emirates reef apartments
cant wait for these
 
Mimi sijawahi kutoka nje ya mkoa wa singida kwa hiyo siwezi kusema mengi
Ipo hiv mkuu kale kastend kapya hapo Singida jiran na stendi ya zaman ambapo kana taa za sola mlikojengewa na Mhindi kwa pale Mombasa hakuna hata kavile, Au kale kastendi kachafu ka Msufini pale Mombasa hakuna.
Na ile stendi kuu ya Misuna kwa hapo Singapooo kule Nairobi hakuna ya hvyo, Umeeelewa mkuu!!!????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…