Maajabu! Jiji la Mombasa halina stand ya bus

Majengo ni mazur sana, eenhee vip kuhusu ugumu wa maisha!! njoo na picha
Ugumu was maisha Mwanza uringanishe na momabasa hakuna maisha magumu kama Kenya niliwah kununua chips kuku mombasa 400 ksh wakat Tanzania chips kuku unapata 150 ksh hahahhahahahhaha
 

my favourite coming up in kizingo msa...crest apartments
 
Dsm ok twende kazi kijana unataka mapicha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…