OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
"Bashungwa tumekupeleka kwenye michezo tunataka tushinde, sio tukilala tukiamka mabao 10, wote mtaondoka hata wewe Naibu Waziri Ulega, tukashinde, na Simba na Yanga zimetuchelewesha ikiwezekezana tuwe na Club ya Taifa kabisa isiyokuwa na Usimba na Yanga” asema Rais Magufuli akiwaapisha Mawaziri wapya leo IKULU Dodoma.