OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
"Bashungwa tumekupeleka kwenye michezo tunataka tushinde, sio tukilala tukiamka mabao 10, wote mtaondoka hata wewe Naibu Waziri Ulega, tukashinde, na Simba na Yanga zimetuchelewesha ikiwezekezana tuwe na Club ya Taifa kabisa isiyokuwa na Usimba na Yanga” asema Rais Magufuli akiwaapisha Mawaziri wapya leo IKULU Dodoma.
Ni Club/Timu ya Taifa?Zenit
Kwan simba na yanga zinazizuia timu zingine kufanya vizuri?mi ni mpinzani wa magufuri ,lakini kwa la simba na yanga kuua mpira wa tz yupo sahihi kabisa,,
ni kama ccm ndio kikwazo cha maendeleo hapa tz
ndio ,tena mpaka kuua kipaji cha mchezajiKwan simba na yanga zinazizuia timu zingine kufanya vizuri?
Sasa hii club itaundwa vipi? Mwenyekiti wake atakuwa waziri? Usajili wake itafanya vipi? Maana siamini kama club ya taifa itanunua wachezaji Kenya. Huo sio uzalendo. Watavaa jezi gani? Itaitwa jina gani? Bashungwa ana kazi kama yule aliyeambiwa aanzishe historia ya Tanzania.Club ya taifa,,ni wazo zuri,itawajibika kwa waziri muhusika na hii haitakiwi ifungwe labda draw tu
Unaweza kutuambia Simba na Yanga wanaua vipi mpira wa Tanzania?mi ni mpinzani wa magufuri ,lakini kwa la simba na yanga kuua mpira wa tz yupo sahihi kabisa,,
ni kama ccm ndio kikwazo cha maendeleo hapa tz