Maajabu matokeo kidato cha nne

Maajabu matokeo kidato cha nne

Isango

R I P
Joined
Jul 23, 2008
Posts
295
Reaction score
450
Maajabu matokeo kidato cha nne


MATOKEO ya kidato cha nne yaliyotangaza hivi karibuni yameendelea kuibua mkanganyiko kutokana na kuwapo kwa utofauti wa madaraja kwa pointi zinazozolingana.
Mkanganyiko huo unatokana na kuwepo kwa hali ya sintofahamu kutokana na kutoeleweka ni kigezo gani cha kutofautisha matokeo hayo kimetumika.
Katika matokeo hayo kuna wanafunzi wana-alama (points) 42 wamepewa daraja 0, na kuna wanafunzi wana pointi 46 wamepewa daraja la IV.
Pia kuna waliopata points 43 wamepewa daraja la IV na wengine wamepata points 43 wamepewa daraja 0
Mfano wa matokeo hayo ni shule ya sekondari Wigamba ya Mbeya. Namba za mtihaniwa na pointi alizopata na daraja zikiwa kwenye mabano ni S3133/0088 (45- iv), S3133/0082 (45- 0), S3133/0092 (42-0), S3133/0095 (43-0), S3133/0099 (44-0), S3133/0100 (42-iv), S3133/0101 (43- iv) na S3133/0103 (44-iv)
Shule nyingine ya Nchimbi ambayo matokeo yake ni S1877/0001 (43-iv), S1877/0003 (43-iv), S1877/0006 (46-iv), S1877/0007 (46-iv),
S1877/0028 (44-iv) na S1877/0037 (45-0)
Wadau wa elimu wanahoji kuwa ni kigezo kipi kimetumika kuchukua mfumo huo wa kupanga matokeo.

Bavicha: Matokeo kidato cha nne ni ya kisiasa

Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) limesema matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa na serikali juzi ni ya kisiasa zaidi.
Katibu Mkuu wa Bavicha, Deogratias Munishi, alibainisha hayo jana na kuongeza kuwa serikali imejinasibu kuwa kiwango cha ufaulu kimepanda kwa asilimia 15.17 ukilinganisha na matokeo ya mwaka jana huku ikiwa yako kisiasa zaidi na yanashindwa kuakisi ukweli wa hali ya elimu nchini.
Alisema matokeo hayo yameendelea kuonyesha jinsi mfumo wa elimu nchini ulivyoharamu kwa vijana, kwani kundi la wanafunzi waliofanya mtihani huo ni wale waliomaliza darasa la saba mwaka 2009.
"Wanafunzi takribani 898,420 wameshatupwa nje ya mfumo kwa kati ya 2009 na 2013, kwani waliotarajiwa kumaliza darasa la saba 2009 walikuwa 1,024,488 huku 502,624 wakifeli vibaya, 493,333 wakidaiwa kufaulu na 28,531 wakiwa haijulikani wamepotelea wapi na hadi wanafunzi 404,083 waliofanya mtihani wa kidato cha nne 2013 maana yake wanafunzi 89,250 walishapotelea njiani leo hii wanaleta siasa," alieleza Munishi.
Alisema Bavicha wanaendelea kusisitiza kuwa kuna anguko kubwa la kiwango cha elimu nchini na matokeo mabovu ya mtihani wa taifa kila mwaka ni kielelezo kikuu cha anguko hilo.
"Serikali imeshindwa kuwekeza vya kutosha kwenye sekta hii kwa kuweka miundombinu na mazingira wezeshi ya kutoa elimu bora kwa raia wake na kuonyesha upofu wa kuendelea kukumbatia mfumo mbovu," alisema.
Aliishauri serikali kuachana na anasa katika matumizi ya rasilimali za nchi, ili iwekeze katika elimu.
Pia kuwepo na udharura wa kushughulikia mabadiliko ya mfumo wa elimu, ili kupata taifa la wasomi na si kama ilivyo hivi sasa, ili kunusuru kizazi kilichopo na kijacho.
Pia wamemtaka Waziri Mkuu kuanika ripoti ya tume aliyoiunda mwaka jana kuchunguza matokeo mabovu ya wakati huo.

Source - Tanzania Daima
 
eti unahesabu vipi matokeo ya kidato cha nne mana kuna wengine wana 43 wamewekewa 0 na wengine wana 43 wamewekewa iv wanafanyaje ili kupata hizo alama
 
Viongozi wetu washamba tu! Hawajui hata mambo yakufanyia masihara! Sijui wanamapepo?? Mimi hata sielewi kabisa!
 
Hakuna mkanganyiko wowote katika madaraja ya matokeo, isipokuwa ni uelewa duni wa waandishi wetu wa "kisasa". Ili mtu awe na daraja ya nne ni lazima awe na walau "C" moja au "D" mbili katika masomo yote aliyofanya. Chini ya hapo ni division "Five". Mfano: Mwanafunzi aliyepata E katika masomo yote saba atakuwa na pointi 42 huyu atakuwa na div. o. Lakini mwanafunzi aliyepata F masomo sita na C moja atakuwa na pointi 46 ambayo ni Div. 4.

Sasa huyo mwandishi ajaribu kuangalia matokeo ya hizo namba alizoandika kwa kuzingatia vigezo hivyo alafu aje aseme huo mkanganyiko uko wapi
 
Hakuna mkanganyiko wowote katika madaraja ya matokeo, isipokuwa ni uelewa duni wa waandishi wetu wa "kisasa". Ili mtu awe na daraja ya nne ni lazima awe na walau "C" moja au "D" mbili katika masomo yote aliyofanya. Chini ya hapo ni division "Five". Mfano: Mwanafunzi aliyepata E katika masomo yote saba atakuwa na pointi 42 huyu atakuwa na div. o. Lakini mwanafunzi aliyepata F masomo sita na C moja atakuwa na pointi 46 ambayo ni Div. 4.

Sasa huyo mwandishi ajaribu kuangalia matokeo ya hizo namba alizoandika kwa kuzingatia vigezo hivyo alafu aje aseme huo mkanganyiko uko wapi

Usiwe kishabiki punguza mhemko embu soma huyo siredi kwa umakini halafu uje ucomment tena.
 
Kama una 43 hiyo ni division 5,achana na shule tafuta kazi nyingine ya kufanya
 
Na pia kuna wengine wana 42 wamewekea 0
 
Ipo hivi:
Div zero ni pts 48 hadi 49.
Hata hivyo,ili upate div IV,ni lazima uwe na angalau D mbili,au C moja.
Hvyo,kuanzia pts 41 na kuendelea,ukikosa D mbili,au ukikosa C moja una score Zero.
Below pts 41,ni lazima mtu atakuwa na angalau D mbili.
 
Usiwe kishabiki punguza mhemko embu soma huyo siredi kwa umakini halafu uje ucomment tena.


Kaka "Majaar" Nimesoma kwa umakini kwa mara nyingine nikagundua hakuna nilichokosea kwani mwandishi hakuwa anafahamu vigezo vilivyotumika na ndio maana akaona kuna mkanganyiko ktk madaraja. Na nilichokifanya mimi ni kumpa hiyo elimu bure kabisa. Kwa hiyo na wewe ni haki yako kuamini kuna mkanganyiko kama alivyoandika au kuchukua elimu hii ya bure niliyoitoa! Vingineyo unaweza kunambia nilipokosea nijirekebishe hili ni jukwa huru bwana!

By the way mbona kuna wengine wamepata Div. 1 pts 17 na wengine Div III pts 17 Hii unajua ni kwa nini eeh?
 
WAKUU NAOMBA MNISAIDIE KUHUSU VIWANGO vya MADARAJA YA UFAHURU YAANI DIVS 1,11,111,1V. O
 
Kaka "Majaar" Nimesoma kwa umakini kwa mara nyingine nikagundua hakuna nilichokosea kwani mwandishi hakuwa anafahamu vigezo vilivyotumika na ndio maana akaona kuna mkanganyiko ktk madaraja. Na nilichokifanya mimi ni kumpa hiyo elimu bure kabisa. Kwa hiyo na wewe ni haki yako kuamini kuna mkanganyiko kama alivyoandika au kuchukua elimu hii ya bure niliyoitoa! Vingineyo unaweza kunambia nilipokosea nijirekebishe hili ni jukwa huru bwana!
Asipo ipenda yako,achukue hii:
Ipo hivi:
Div zero ni pts 48 hadi 49.
Hata hivyo,ili upate div IV,ni lazima uwe na angalau D mbili,au C moja.
Hvyo,kuanzia pts 41 na kuendelea,ukikosa D mbili,au ukikosa C moja una score Zero.
Below pts 41,ni lazima mtu atakuwa na angalau D mbili.


By the way mbona kuna wengine wamepata Div. 1 pts 17 na wengine Div III pts 17 Hii unajua ni kwa nini eeh?
hahaha
 
Habari zenu wanabodi..

Baada ya matokeo ya kidato cha nne kutoka; kuna jambo moja sijalielewa...

Ni hivi kuna wanafunzi wamepata pointi zinazofanana lkn kila wamepewa madaraja tofauti.

Mf. Shule yenye index no S468.

Mwanafunzi mwenye index no. S0468/0033 ana point 41, ana Division IV.

Wakati mwanafunzi mwenye index no. S0468/0055 ana pointi 41, ila ana Zero.

Swali langu;
Naomba kujuzwa busara iliyotumika hapo...

NB;
Najua kuwa division III na IV hazina penati.

Nawasilisha.
 
Naomba ufafanuzi kuhusu madaraja/ divisions za mwaka huu katika matokeo ya f4 2013. Hii kwa sababu kuna watahiniwa wana points sawa lakini divisions zao zinatofautiana. Kwa anayefahamu sababu anisaidie

mfano: Yupi alistahili zero hapa chini?

S3458/0013
F
43

[TD="width: 4%"] 0 [/TD]
[TD="width: 58%"] CIV- 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' LIT ENGL - 'F' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
[/TD]

S3458/0024
F
45

[TD="width: 4%"] IV
[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV- 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
[/TD]

ni kwa nini?
SOURCE NI WEBSITE YA NECTA
 
[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0711/0068
[/TD]
[TD="width: 4%"]M
[/TD]
[TD="width: 6%"]43
[/TD]
[TD="width: 4%"]0
[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' E/D/KIISLAMU - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' PHY - 'E' CHEM - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0711/0058
[/TD]
[TD="width: 4%"]M
[/TD]
[TD="width: 6%"]43
[/TD]
[TD="width: 4%"]0
[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0711/0048
[/TD]
[TD="width: 4%"]F
[/TD]
[TD="width: 6%"]43
[/TD]
[TD="width: 4%"]IV
[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' E/D/KIISLAMU - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'E'
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Haya ni maajabu ya NECTA
 
Maajabu ya Necta

[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0711/0015
[/TD]
[TD="width: 4%"]F
[/TD]
[TD="width: 6%"]45
[/TD]
[TD="width: 4%"]IV
[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' E/D/KIISLAMU - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0711/0012
[/TD]
[TD="width: 4%"]F
[/TD]
[TD="width: 6%"]45
[/TD]
[TD="width: 4%"]0
[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' E/D/KIISLAMU - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0711/0037
[/TD]
[TD="width: 4%"]F
[/TD]
[TD="width: 6%"]45
[/TD]
[TD="width: 4%"]0
[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' E/D/KIISLAMU - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'



[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0711/0029
[/TD]
[TD="width: 4%"]F
[/TD]
[TD="width: 6%"]45
[/TD]
[TD="width: 4%"]IV
[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' E/D/KIISLAMU - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0711/0051
[/TD]
[TD="width: 4%"]F
[/TD]
[TD="width: 6%"]45
[/TD]
[TD="width: 4%"]0
[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' E/D/KIISLAMU - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
[table="width: 70%"]
[tr]
[td="width: 6%"]s0705/0042
[/td]
[td="width: 4%"]m
[/td]
[td="width: 6%"]45
[/td]
[td="width: 4%"]iv
[/td]
[td="width: 58%"]civ - 'f' hist - 'f' geo - 'f' kisw - 'c' engl - 'f' chem - 'f' bio - 'e' b/math - 'f'
[/td]
[/tr]
[/table]

[table="width: 70%"]
[tr]
[td="width: 6%"]s0705/0028
[/td]
[td="width: 4%"]f
[/td]
[td="width: 6%"]45
[/td]
[td="width: 4%"]0
[/td]
[td="width: 58%"]civ - 'f' hist - 'e' geo - 'e' kisw - 'd' engl - 'f' bio - 'f' b/math - 'f'
[/td]
[/tr]
[/table]
 
Back
Top Bottom