Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Huu ni mwezi May mwishoni, zimebaki siku 8 tu kuuanza mwezi June. Matokeo ya form six hayajatoka, AJABU. kwa kawaida matokeo haya hutoka Mwezi April mwishoni au May mwanzoni, lakini tunajtaribia mwezi June na matokeo bado. What does it mean???