Maajabu matokeo ya form 6!!!!!!!

Maajabu matokeo ya form 6!!!!!!!

Alfu Lela Ulela

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
1,255
Reaction score
77
Huu ni mwezi May mwishoni, zimebaki siku 8 tu kuuanza mwezi June. Matokeo ya form six hayajatoka, AJABU. kwa kawaida matokeo haya hutoka Mwezi April mwishoni au May mwanzoni, lakini tunajtaribia mwezi June na matokeo bado. What does it mean???
 
usijali yatatoka tu! tumeamua kuyaSTANDARDIZE mapema kabla hamjaaza kutuzodoa huko mitaani kwenu!
 
Huu ni mwezi May mwishoni, zimebaki siku 8 tu kuuanza mwezi June. Matokeo ya form six hayajatoka, AJABU. kwa kawaida matokeo haya hutoka Mwezi April mwishoni au May mwanzoni, lakini tunajtaribia mwezi June na matokeo bado. What does it mean???

Hisia yangu ni kwamba wanastandardise kwa namna ambayo watapata idadi ya wanafunzi wa kutosha kuingia vyuo vikuu. Ujue hiyo kazi si mchezo!
 
hoja iliyopo ni kuzalisha wasomi wengi katika hali ya ushindani ndani ya afrika mashariki kwa idadi, ili waweze kupata nafasi kwa kuzingatia elimu zao; hata hivyo wasiwasi mkubwa ni uwezo wa wahitimu wetu kushindana kikamilifu
 
Bado hatujamaliza kuyastandadize tukimaliza tutayarelease chap
 
wanasuabiri mafunzo ya jkt yaishe kwanza.yakitoka yanaweza waharibu walioko mafunzoni jkt.
 
Kama matokeo ya Uchaguzi yanachakachuliwa sembuse matokeo yenu ya shule za kayumba,kaa utulie,maana ukiambiwa ukaandamane unaogopa!
 
kiukweli nchi hii sijui inatupeleka wapi?!, aya bhana hatuna chakufanya zaidi ya kusubiri japo mtaani siku hizi tunaambulia maneno ya kejeli
 
Wanasubiri matukio yatokee halafu wanatuzubaisha kwa kutoa matokea ya form six ili tusahau tukio la nyuma. Chezea Bongo wewe
 
Sina shida tena na matokeo wakae nayo tu maana wanatufanya wajinga!
 
Huu ni mwezi May mwishoni, zimebaki siku 8 tu kuuanza mwezi June. Matokeo ya form six hayajatoka, AJABU. kwa kawaida matokeo haya hutoka Mwezi April mwishoni au May mwanzoni, lakini tunajtaribia mwezi June na matokeo bado. What does it mean???

mbona hata ya form four 2012 bado hayajatoka hushangai?
 
baaasi,kesho ndo mkutano wa vyuo vkuu,watu wataenda bila kujua walichofanya!?
 
Anyway, waje huku chuo kikuu, tunawasubiri, sapu za kumwaga na carry over mpaka wadisco wenyewe. Tunaletewa madivision zero
 
kiukweli nchi hii sijui inatupeleka wapi?!, aya bhana hatuna chakufanya zaidi ya kusubiri japo mtaani siku hizi tunaambulia maneno ya kejeli
una haraka gani? chuo mwezi wa tisa itakuchukua miezi mingapi kuomba chuo? siku hz n on line andaa fifty ya tcu na thirty ya heslb. mbulula
 
Back
Top Bottom