Maajabu: Mwijaku apendekeza Mfumo wa Uteuzi usiangalie Chawa

Maajabu: Mwijaku apendekeza Mfumo wa Uteuzi usiangalie Chawa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Habari kamili hii hapa

Screenshot_2024-09-04-22-37-32-1.png

Mtangazaji Burton Mwemba, maarufu Mwijaku ameishauri Serikali kuona umuhimu wa kuwa na mfumo mzuri wa kuangalia aina ya upatikanaji viongozi kwa baadhi ya nafasi hasa zile za kuteuliwa na Rais au taasisi fulani.

“Kumteua mtu lazima kuwe na utaratibu wa aina mbili kwanza kwa kuangalia historia yake kwa kuzingatia anachokwenda kukifanya, wengi wanaingia kwenye siasa si eneo lao mtu amesoma kuanzia kidato cha kwanza hadi kidato cha nne hajawahi kuwa kiranja.

“Amekuja chuo hajawai kuwa kiongozi anakuja mbele anajua kuongea anaonekana na anapewa nafasi ya U-DC (mkuu wa wilaya) matokeo yake anashindwa kuchagua maneno ya kuzungumza, lakini tukitengeneza mfumo hata akichaguliwa na taasisi fulani tunarejea historia yake aliwahi kuwa hata kiranja?

Mwijaku amesema hayo leo Jumatano Septemba 4, 2024 wakati akichangia mada kwenye Mwananchi Space, inayoandaliwa na Mwananchi Communications Limited (MCL), inayosema: Kauli tata za viongozi kuelekea kwenye uchaguzi zinatafsiri gani?

“Tunapaswa kutambua viongozi wengi ni wateule kutoka kwa Rais anayewapa mamlaka na waliowengi wabinafsi anapoona hapati nafasi ya kuwa karibu na kiongozi fulani ndipo tunaanza kuona matamshi ambayo si mazuri kwa chama na Serikali yake.”

Katika hoja yake ya pili, Mwijaku amependekeza ni muhimu kuangalia uwezo wake wa kufikiri kuna kauli zinaweza kutolewa na kiongozi na kubaki na maswali ya kujiuliza ni kiongozi au chawa?

Soma Pia: Serikali Kuja na Mfumo Maalumu wa Kusaidia mamlaka ya Uteuzi kufanya uteuzi kwa Usahihi

“Ni muhimu tujue kutofautisha kati ya chawa na kiongozi, chawa anaweza kukaa na kusifia chochote lakini kiongozi akitoa kauli ajue ni uamuzi wa Serikali kwa kuwa umepewa sehemu ya kuwakilisha.
 
Wakati wa Nyerere alipokuwa anatoa hotuba zake ulikuwa unawasikia wale jamaa waliokuwa wanasema hivi "Sema baba "

Hao watu ndo chawa now days
Wahivi wapo Pwani yote na hasa zenji

Hii ni kuchagiza jambo fulani, na hii imetoka ktk mihazara ya dini, kama vile sheikh au ustadhi akitoa kifungu cha dini ya kikristo kujibu au Kujenga Hoja kwa mkristo ktk kundi au mkutano wa waislam, utasikia Soma Matayo 6:4-5.... eeeeenh... inasema .... alafu mwingine utasikia anaongea mpe huyo.

Yani ni maneno ya kuchombeza kwenye mikutano
 
Habari kamili hii hapa

Mtangazaji Burton Mwemba, maarufu Mwijaku ameishauri Serikali kuona umuhimu wa kuwa na mfumo mzuri wa kuangalia aina ya upatikanaji viongozi kwa baadhi ya nafasi hasa zile za kuteuliwa na Rais au taasisi fulani.

“Kumteua mtu lazima kuwe na utaratibu wa aina mbili kwanza kwa kuangalia historia yake kwa kuzingatia anachokwenda kukifanya, wengi wanaingia kwenye siasa si eneo lao mtu amesoma kuanzia kidato cha kwanza hadi kidato cha nne hajawahi kuwa kiranja.

“Amekuja chuo hajawai kuwa kiongozi anakuja mbele anajua kuongea anaonekana na anapewa nafasi ya U-DC (mkuu wa wilaya) matokeo yake anashindwa kuchagua maneno ya kuzungumza, lakini tukitengeneza mfumo hata akichaguliwa na taasisi fulani tunarejea historia yake aliwahi kuwa hata kiranja?

Mwijaku amesema hayo leo Jumatano Septemba 4, 2024 wakati akichangia mada kwenye Mwananchi Space, inayoandaliwa na Mwananchi Communications Limited (MCL), inayosema: Kauli tata za viongozi kuelekea kwenye uchaguzi zinatafsiri gani?

“Tunapaswa kutambua viongozi wengi ni wateule kutoka kwa Rais anayewapa mamlaka na waliowengi wabinafsi anapoona hapati nafasi ya kuwa karibu na kiongozi fulani ndipo tunaanza kuona matamshi ambayo si mazuri kwa chama na Serikali yake.”

Katika hoja yake ya pili, Mwijaku amependekeza ni muhimu kuangalia uwezo wake wa kufikiri kuna kauli zinaweza kutolewa na kiongozi na kubaki na maswali ya kujiuliza ni kiongozi au chawa?

“Ni muhimu tujue kutofautisha kati ya chawa na kiongozi, chawa anaweza kukaa na kusifia chochote lakini kiongozi akitoa kauli ajue ni uamuzi wa Serikali kwa kuwa umepewa sehemu ya kuwakilisha.
[emoji1787][emoji1787]
 
Mtangazaji nguli nchini Burton Mwemba Mwijaku ametaka mfumo wa Uteuzi ubadilishwe Ili Wateuliwe Watu wenye Sifa tarajiwa na Siyo Machawa

Mwijaku amesema Uchawa siyo Sifa lakini Cha ajabu sasa ndio imekuwa Sifa kuu ya Uteuzi

Mwijaku ametaka mfumo wa Uteuzi ubadilishwe haraka kabla mambo hayajaharibika

Credit: Mwananchi
 
Habari kamili hii hapa

Mtangazaji Burton Mwemba, maarufu Mwijaku ameishauri Serikali kuona umuhimu wa kuwa na mfumo mzuri wa kuangalia aina ya upatikanaji viongozi kwa baadhi ya nafasi hasa zile za kuteuliwa na Rais au taasisi fulani.

“Kumteua mtu lazima kuwe na utaratibu wa aina mbili kwanza kwa kuangalia historia yake kwa kuzingatia anachokwenda kukifanya, wengi wanaingia kwenye siasa si eneo lao mtu amesoma kuanzia kidato cha kwanza hadi kidato cha nne hajawahi kuwa kiranja.

“Amekuja chuo hajawai kuwa kiongozi anakuja mbele anajua kuongea anaonekana na anapewa nafasi ya U-DC (mkuu wa wilaya) matokeo yake anashindwa kuchagua maneno ya kuzungumza, lakini tukitengeneza mfumo hata akichaguliwa na taasisi fulani tunarejea historia yake aliwahi kuwa hata kiranja?

Mwijaku amesema hayo leo Jumatano Septemba 4, 2024 wakati akichangia mada kwenye Mwananchi Space, inayoandaliwa na Mwananchi Communications Limited (MCL), inayosema: Kauli tata za viongozi kuelekea kwenye uchaguzi zinatafsiri gani?

“Tunapaswa kutambua viongozi wengi ni wateule kutoka kwa Rais anayewapa mamlaka na waliowengi wabinafsi anapoona hapati nafasi ya kuwa karibu na kiongozi fulani ndipo tunaanza kuona matamshi ambayo si mazuri kwa chama na Serikali yake.”

Katika hoja yake ya pili, Mwijaku amependekeza ni muhimu kuangalia uwezo wake wa kufikiri kuna kauli zinaweza kutolewa na kiongozi na kubaki na maswali ya kujiuliza ni kiongozi au chawa?

Soma Pia: Serikali Kuja na Mfumo Maalumu wa Kusaidia mamlaka ya Uteuzi kufanya uteuzi kwa Usahihi

“Ni muhimu tujue kutofautisha kati ya chawa na kiongozi, chawa anaweza kukaa na kusifia chochote lakini kiongozi akitoa kauli ajue ni uamuzi wa Serikali kwa kuwa umepewa sehemu ya kuwakilisha.
Lucas Mwashambwa njoo fasta kuna mhuni anatishia malengo yako
 
Back
Top Bottom