Aramun
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 461
- 2,213
Maajabu hayatakaa yaishe Tanzania. Dhirika linalokusanya mabilioni kwa mwezi ndilo linaongoza kutengeneza pia hasara kwenye nchi.
Kwa hali hii bima kwa wote ni ndoto za mchana. Sheria imeshatungwa lakini kwa kufosi sana. Tetesi ni kwamba feasibility study ya wataalamu ya bima kwa wote ilionesha HAIWEZEKANI.
Ndicho kilichomtoa katibu mkuu wa wizara ya afya mwaka juzi kwa sababu alisimamia uhalisia.
Ila kwa sababu hili jambo linapelekwa kisiasa, basi wakalipush mpaka ikawa sheria.
Namba zinaongea. Zikiongea namba hata mjinga anaelewa. Shirika lilikshindwa kuwahudumia wateja laki 8 litaweza kuhudumia watu milioni 70? HAIWEZEKANI.
Mahospitali makubwa hasa MNH, BMH, JKCI, MOI, KCMC, BUGANDO, MBEYA ZONAL nasikia yana hali mbaya sana kwa sababu NHIF hawajapeleka michango ya wanachama kwa miezi karibu 6 sasa.
Na hizi hospitali kubwa za umma zinajiendesha kwa 90% kwa kutumia pesa za NHIF. Kwa sasa wakuu wa hizi hospitali wanahaha kutokana na package mpya ya NHIF.
Hiyo package mpya inaenda kuzifanya hizi hospitali kubwa za umma zisiweze kujiendesha. Kwa hiyo ni either wizara ndiyo ibebe hilo gap litakalotokea, au warudishe package ya zamani kama ilivyokuwa..
TOP LOSS MAKING PUBLIC INSTITUTION IN TANZANIA
(Losses in Tanzanian shillings)
1. National Health Insurance Fund (NHIF), 𝐓𝐙𝐒 𝟏𝟓𝟔.𝟕 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
2. Tanzania Railways Corporation (TRC), 𝐓𝐙𝐒 𝟏𝟎𝟎.𝟕 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
3. TANOIL Investment Limited, 𝐓𝐙𝐒 𝟕𝟔.𝟓 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
4. Air Tanzania Company Limited (ATCL), 𝐓𝐙𝐒 𝟓𝟔.𝟔 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
5. Kariakoo Market Corporation, 𝐓𝐙𝐒 𝟒𝟏.𝟓 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
6. University of Dar es Salaam (UDSM), 𝐓𝐙𝐒 𝟏𝟐.𝟓 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
7. Tanzania Biotech Products Limited, 𝐓𝐙𝐒 𝟔.𝟏 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
8. Kilimanjaro International Leather Industries, 𝐓𝐙𝐒 𝟒.𝟐 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
9. Mbeya Water Supply and Sanitation Authority, 𝐓𝐙𝐒 𝟑.𝟏𝟗 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
10. Petroleum Upstream Regulatory Authority (PURA), 𝐓𝐙𝐒 𝟐.𝟐 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
▪️ CAG report, fiscal year 2022/23.
Kwa hali hii bima kwa wote ni ndoto za mchana. Sheria imeshatungwa lakini kwa kufosi sana. Tetesi ni kwamba feasibility study ya wataalamu ya bima kwa wote ilionesha HAIWEZEKANI.
Ndicho kilichomtoa katibu mkuu wa wizara ya afya mwaka juzi kwa sababu alisimamia uhalisia.
Ila kwa sababu hili jambo linapelekwa kisiasa, basi wakalipush mpaka ikawa sheria.
Namba zinaongea. Zikiongea namba hata mjinga anaelewa. Shirika lilikshindwa kuwahudumia wateja laki 8 litaweza kuhudumia watu milioni 70? HAIWEZEKANI.
Mahospitali makubwa hasa MNH, BMH, JKCI, MOI, KCMC, BUGANDO, MBEYA ZONAL nasikia yana hali mbaya sana kwa sababu NHIF hawajapeleka michango ya wanachama kwa miezi karibu 6 sasa.
Na hizi hospitali kubwa za umma zinajiendesha kwa 90% kwa kutumia pesa za NHIF. Kwa sasa wakuu wa hizi hospitali wanahaha kutokana na package mpya ya NHIF.
Hiyo package mpya inaenda kuzifanya hizi hospitali kubwa za umma zisiweze kujiendesha. Kwa hiyo ni either wizara ndiyo ibebe hilo gap litakalotokea, au warudishe package ya zamani kama ilivyokuwa..
TOP LOSS MAKING PUBLIC INSTITUTION IN TANZANIA
(Losses in Tanzanian shillings)
1. National Health Insurance Fund (NHIF), 𝐓𝐙𝐒 𝟏𝟓𝟔.𝟕 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
2. Tanzania Railways Corporation (TRC), 𝐓𝐙𝐒 𝟏𝟎𝟎.𝟕 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
3. TANOIL Investment Limited, 𝐓𝐙𝐒 𝟕𝟔.𝟓 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
4. Air Tanzania Company Limited (ATCL), 𝐓𝐙𝐒 𝟓𝟔.𝟔 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
5. Kariakoo Market Corporation, 𝐓𝐙𝐒 𝟒𝟏.𝟓 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
6. University of Dar es Salaam (UDSM), 𝐓𝐙𝐒 𝟏𝟐.𝟓 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
7. Tanzania Biotech Products Limited, 𝐓𝐙𝐒 𝟔.𝟏 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
8. Kilimanjaro International Leather Industries, 𝐓𝐙𝐒 𝟒.𝟐 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
9. Mbeya Water Supply and Sanitation Authority, 𝐓𝐙𝐒 𝟑.𝟏𝟗 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
10. Petroleum Upstream Regulatory Authority (PURA), 𝐓𝐙𝐒 𝟐.𝟐 𝐛𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧
▪️ CAG report, fiscal year 2022/23.