Maajabu: takwimu za wachezaji wa Simba vs Kaseke zingatia uchungu

Maajabu: takwimu za wachezaji wa Simba vs Kaseke zingatia uchungu

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Jonathan Sowa Amecheza Dakika 72 ligi kuu na Ana Goli moja

Deus Kaseke Amecheza Dakika 6 ligi kuu na Ana Goli Moja

Elie Mpanzu Amecheza michezo jumla 10 hana hata Goli la Offside

Kibu Denis Ana miaka 2 hana Goli wala Assist [emoji38]


Hii Ina maana Gani Kwa bodi ya usajili ya makolo ikiongozwa na boss magoli[emoji23][emoji23]

#HapaniHabariSahihiTu
#MpiraWaAfrika...
1739166529815.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mapuuzi yenye utahira yanajadiliana....
Wenye akili kule utopoloni hawawezi kujadili huu upupu...
Kibu D alishawakanda sanaaa na anasubiria kuwakanda tena march 8 baada ya hapo anashughuli kimataifa..
Mpanzu hata nyie kimoyo moyo mnamuogopa sana kwa sbb kazi anayofanya hakuna nzi wa kijani pale anaweza kukompit nae..
 
Mapuuzi yenye utahira yanajadiliana....
Wenye akili kule utopoloni hawawezi kujadili huu upupu...
Kibu D alishawakanda sanaaa na anasubiria kuwakanda tena march 8 baada ya hapo anashughuli kimataifa..
Mpanzu hata nyie kimoyo moyo mnamuogopa sana kwa sbb kazi anayofanya hakuna nzi wa kijani pale anaweza kukompit nae..
Mkuu ubora wa mshambuliaji ni kuifunga. Sasa mpanzu ananini Cha kuogopesha???

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Elie Mpanzu Amecheza michezo jumla 10 hana hata Goli la Offside

Kibu Denis Ana miaka 2 hana Goli wala Assist
emoji38.png
Mbona hutaji ukwasi wao?

Au kaseke baada ya kumwagiwa sarafu na de utopwinyo jana tayari kawazidi ukwasi hao miamba?

Unaleta hoja za Pamba kama mtu anayewashwa kalio kupambanisha maskini mkulima wa Pamba apambane na wakwasi?

Acha ufala 🐸
 
Mapuuzi yenye utahira yanajadiliana....
Wenye akili kule utopoloni hawawezi kujadili huu upupu...
Kibu D alishawakanda sanaaa na anasubiria kuwakanda tena march 8 baada ya hapo anashughuli kimataifa..
Mpanzu hata nyie kimoyo moyo mnamuogopa sana kwa sbb kazi anayofanya hakuna nzi wa kijani pale anaweza kukompit nae..
Hawa nikuwapotezea tu wajadili wenyewe kama wana uto
 
Back
Top Bottom