Mchezaji mpya pale ukoloniPanzi nae mchezaji gani
Mkuu ubora wa mshambuliaji ni kuifunga. Sasa mpanzu ananini Cha kuogopesha???Mapuuzi yenye utahira yanajadiliana....
Wenye akili kule utopoloni hawawezi kujadili huu upupu...
Kibu D alishawakanda sanaaa na anasubiria kuwakanda tena march 8 baada ya hapo anashughuli kimataifa..
Mpanzu hata nyie kimoyo moyo mnamuogopa sana kwa sbb kazi anayofanya hakuna nzi wa kijani pale anaweza kukompit nae..
Muulize Laki Dube wenu...Mkuu ubora wa mshambuliaji ni kuifunga. Sasa mpanzu ananini Cha kuogopesha???
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mbona hutaji ukwasi wao?Elie Mpanzu Amecheza michezo jumla 10 hana hata Goli la Offside
Kibu Denis Ana miaka 2 hana Goli wala Assist
Dube ana magoli 7.Muulize Laki Dube wenu...
Mbumbumbu kuelewa ni ngumuDube ana magoli 7
Hawa nikuwapotezea tu wajadili wenyewe kama wana utoMapuuzi yenye utahira yanajadiliana....
Wenye akili kule utopoloni hawawezi kujadili huu upupu...
Kibu D alishawakanda sanaaa na anasubiria kuwakanda tena march 8 baada ya hapo anashughuli kimataifa..
Mpanzu hata nyie kimoyo moyo mnamuogopa sana kwa sbb kazi anayofanya hakuna nzi wa kijani pale anaweza kukompit nae..
wakiachwa watavimba vichwa....wanatakiwa wapewe Facts..Hawa nikuwapotezea tu wajadili wenyewe kama wana uto
Unafikiri hawajui ? Mtaji wao ni wanasimba mtoe hizo fact bila kutoa ni nonsense.wakiachwa watavimba vichwa....wanatakiwa wapewe Facts..
Hapana mkuu...hii topic ni Kwa maslahi mapana ya soka letuHawa nikuwapotezea tu wajadili wenyewe kama wana uto
[emoji23][emoji23][emoji14][emoji14]wakiachwa watavimba vichwa....wanatakiwa wapewe Facts..