Maajabu: takwimu za wachezaji wa Simba vs Kaseke zingatia uchungu

Unafikiri hawajui ? Mtaji wao ni wanasimba mtoe hizo fact bila kutoa ni nonsense.
Kuleta mada ya kuwajadili Mpanzu na Kibu kisa mkulima wa Pamba kaifunga Azam baada dk ni wazi mtoa mada yupo katika kundi la mazwazwa wa kandanda aka wafua jezi za GSM.

Hii ni kumaanisha kuwa wafua jezi za GSM hawalali wapo jicho kodoo kuwafatilia wababe wa soka.

Mwache Laban og aendelee kujizeesha kwa nyuzi za kizwazwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…