Maajabu: Timu inayotumia robo karne kufika makundi kumcheka anayefika robo fainal CL kila mwaka

Maajabu: Timu inayotumia robo karne kufika makundi kumcheka anayefika robo fainal CL kila mwaka

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Imezuka tabia hapa jukwaani watu kufungua nyuzi zenye utopolo mwingi wakibeza mafanikio ya MOST SUCCESSFUL CLUB AND GIANT OF AFRICA. Huu ni uzamwamwa, uzuzu, utaahira na uzumbukuku wa mashabiki wa kikundi cha topoloz.

Bado hamjasema kenge nyie, UZI TAYARI.....
 
Imezuka tabia hapa jukwaani watu kufungua nyuzi zenye utopolo mwingi wakibeza mafanikio ya MOST SUCCESSFUL CLUB AND GIANT OF AFRICA,Huu ni uzamwamwa,uzuzu,utaahira na uzumbukuku wa mashabiki wa kikundi cha topoloz,

Bado hamjasema kenge nyie,UZI TAYARI.....
Kumbe kuishia robo ndio unakuwa giant wa Afrika. Na anayechukua kombe sijui atakuwa God pf Africa labda
 
Imezuka tabia hapa jukwaani watu kufungua nyuzi zenye utopolo mwingi wakibeza mafanikio ya MOST SUCCESSFUL CLUB AND GIANT OF AFRICA,Huu ni uzamwamwa,uzuzu,utaahira na uzumbukuku wa mashabiki wa kikundi cha topoloz,

Bado hamjasema kenge nyie,UZI TAYARI.....
Ingia google halafu andika kama ulivyoandika wewe "most successful club and giant of Africa" utapewa list za timu zinazoongoza kwa mataji na sio timu zinazoishia njiani.
 
Imezuka tabia hapa jukwaani watu kufungua nyuzi zenye utopolo mwingi wakibeza mafanikio ya MOST SUCCESSFUL CLUB AND GIANT OF AFRICA,Huu ni uzamwamwa,uzuzu,utaahira na uzumbukuku wa mashabiki wa kikundi cha topoloz,

Bado hamjasema kenge nyie,UZI TAYARI.....
Mna medali ya CAF?
 
Kumbe kufika robo ni big deal. Haina tofauti na kufika form 4 ukapata 0 maana hata cheti hupati kuthubitisha kuwa ulifika form 4

HAPA NI HOME OF GREAT THINKERS NA SI FB MKUU.

1.Simba imekusanya Points za kutosha huko Robo fainali inakoishia.
Na Simba imefika kuwa timu ya Nane kwa UBORA kwa sababu ya points inazokisanya huko.

2. Kuna zawadi Kwa Kila Hatua timu inapopitia Simba kupata BILIONI 2 robo fainali sio ishu.

3. Simba imehost UFUNGUZI WA AFRICAN SUPER League kwa sababu ya ukubwa wake
Tumeona WATU mashuhuri wakija Tanzania eg RAIS WA FIFA.

4. Simba imeishia Robo Fainali super League
Fedha za maandalizi
BILIONI 5.5 +Robo fainali BILIONI 2.5.
JUMLA BILIONI 8.5.

5. SIMBA NI SUPER 8 TIMU NANE BORA ZA AFRIKA

MSITAKE KILA SAA TUSEME WENYE AKILI NI WAWILI TU
 
HAPA NI HOME OF GREAT THINKERS NA SI FB MKUU.

1.Simba imekusanya Points za kutosha huko Robo fainali inakoishia.
Na Simba imefika kuwa timu ya Nane kwa UBORA kwa sababu ya points inazokisanya huko.

2. Kuna zawadi Kwa Kila Hatua timu inapopitia Simba kupata BILIONI 2 robo fainali sio ishu.

3. Simba imehost UFUNGUZI WA AFRICAN SUPER League kwa sababu ya ukubwa wake
Tumeona WATU mashuhuri wakija Tanzania eg RAIS WA FIFA.

4. Simba imeishia Robo Fainali super League
Fedha za maandalizi
BILIONI 5.5 +Robo fainali BILIONI 2.5.
JUMLA BILIONI 8.5.

5. SIMBA NI SUPER 8 TIMU NANE BORA ZA AFRIKA

MSITAKE KILA SAA TUSEME WENYE AKILI NI WAWILI TU

HAPA NI HOME OF GREAT THINKERS NA SI FB MKUU.

1.Simba imekusanya Points za kutosha huko Robo fainali inakoishia.
Na Simba imefika kuwa timu ya Nane kwa UBORA kwa sababu ya points inazokisanya huko.

2. Kuna zawadi Kwa Kila Hatua timu inapopitia Simba kupata BILIONI 2 robo fainali sio ishu.

3. Simba imehost UFUNGUZI WA AFRICAN SUPER League kwa sababu ya ukubwa wake
Tumeona WATU mashuhuri wakija Tanzania eg RAIS WA FIFA.

4. Simba imeishia Robo Fainali super League
Fedha za maandalizi
BILIONI 5.5 +Robo fainali BILIONI 2.5.
JUMLA BILIONI 8.5.

5. SIMBA NI SUPER 8 TIMU NANE BORA ZA AFRIKA

MSITAKE KILA SAA TUSEME WENYE AKILI NI WAWILI TU

Wewe unajiita great thinker halafu hujui hata kiasi ambacho timu inapokea katika michuano ya AFL. hakuna timu iliyopokea bilioni 5.5 za maandalizi. Hakuna kitu kinachoitwa ela ya maandalizi katika mashindano ya CAF maana umekazania hilo swala utafikiri uliambiwa na CAF kumbe ni maneno ya vijiweni tu. Lete source ilisema CAF wametoa ela za maandalizi maana CAF huwa ela zote zinawekwa wazi.

CAF announces Prize Money for the Inaugural African Football League (“AFL”).

La pili je unakubaliana na mleta uzi kuwa Simba ni MOST SUCCESSFUL CLUB AND GIANT OF AFRICA?

Kama unajiona ni great thinker basi jibu kwa hoja na kwa uthibitisho uliowazi.
Screenshot_2023-10-27-13-10-02-498_com.android.chrome.jpg
 
Ingia google halafu andika kama ulivyoandika wewe "most successful club and giant of Africa" utapewa list za timu zinazoongoza kwa mataji na sio timu zinazoishia njiani.
Unashindana na rais wa CAF na FIFA?[emoji23]
 
Wewe unajiita great thinker halafu hujui hata kiasi ambacho timu inapokea katika michuano ya AFL. hakuna timu iliyopokea bilioni 5.5 za maandalizi. Hakuna kitu kinachoitwa ela ya maandalizi katika mashindano ya CAF maana umekazania hilo swala utafikiri uliambiwa na CAF kumbe ni maneno ya vijiweni tu. Lete source ilisema CAF wametoa ela za maandalizi maana CAF huwa ela zote zinawekwa wazi.

CAF announces Prize Money for the Inaugural African Football League (“AFL”).

La pili je unakubaliana na mleta uzi kuwa Simba ni MOST SUCCESSFUL CLUB AND GIANT OF AFRICA?

Kama unajiona ni great thinker basi jibu kwa hoja na kwa uthibitisho uliowazi.
View attachment 2794537
Unajiuliza na kujijibu mwenyewe,

Hivi pale utopoloni mnavutaga cha wapi?au ndio mwiko unawatoa akili?
IMG_20231027_133123.jpg
 
HAPA NI HOME OF GREAT THINKERS NA SI FB MKUU.

1.Simba imekusanya Points za kutosha huko Robo fainali inakoishia.
Na Simba imefika kuwa timu ya Nane kwa UBORA kwa sababu ya points inazokisanya huko.

2. Kuna zawadi Kwa Kila Hatua timu inapopitia Simba kupata BILIONI 2 robo fainali sio ishu.

3. Simba imehost UFUNGUZI WA AFRICAN SUPER League kwa sababu ya ukubwa wake
Tumeona WATU mashuhuri wakija Tanzania eg RAIS WA FIFA.

4. Simba imeishia Robo Fainali super League
Fedha za maandalizi
BILIONI 5.5 +Robo fainali BILIONI 2.5.
JUMLA BILIONI 8.5.

5. SIMBA NI SUPER 8 TIMU NANE BORA ZA AFRIKA

MSITAKE KILA SAA TUSEME WENYE AKILI NI WAWILI TU
Lakini kufika robo fainali hakujaifanaya kuwa the giant of afrika. Hilo neno liko reserved kwa timu zinazofika fainali specifically ikachukua na kombe.
Kukata vidato ukapata 0 form hakaukupi cheti. Lakini unakuwa umekusanya vidato kibindoni au sio?
 
Unajiuliza na kujijibu mwenyewe,

Hivi pale utopoloni mnavutaga cha wapi?au ndio mwiko unawatoa akili?View attachment 2794556
Huoni hapo kuna ......'AND'..........? Au hujui matumizi ya 'AND'?
Simba anaingia kwenye highest ranked team wakati Al Ahly, Wydad, Tp Mazembe wanaingia katika most successful club in Africa. Una la ziada usiyejua mpira?
 
Aliyewaita mbumbumbu aliona mbali sana, eti most successfull club😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom