DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Imezuka tabia hapa jukwaani watu kufungua nyuzi zenye utopolo mwingi wakibeza mafanikio ya MOST SUCCESSFUL CLUB AND GIANT OF AFRICA. Huu ni uzamwamwa, uzuzu, utaahira na uzumbukuku wa mashabiki wa kikundi cha topoloz.
Bado hamjasema kenge nyie, UZI TAYARI.....
Bado hamjasema kenge nyie, UZI TAYARI.....