Maajabu, TTF yalaani kudaiwa hadharani

Maajabu, TTF yalaani kudaiwa hadharani

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Maajabu hayaishi duniani,ona hii ya TTF.


tanfootball_221956181_854607945160304_2603385785397192904_n.jpg
 
Karia .ni tapeli kama matapeli wengine, hamna kitu eti anapita bila kupigwa au aliogopa ushindani tu
 
Karia .ni tapeli kama matapeli wengine, hamna kitu eti anapita bila kupigwa au aliogopa ushindani tu
... Tff matapeli sanaaa. Huyo mdeni amejaribu njia zote za kistaarabu za kukumbushia deni lake lakini jamaa wanampiga chenga za mwili. Mara hawapokei, hawajibu Meseji, hawaruhusu mdeni kumwona KARIA(koo) na kadhalika. Waumbuliwe tuu
 
Naona jamaa kaona bora tu ajilipue baada ya kuona wakina Karia wanaleta uswahili wa kumtaka kumzika deni lake!

Najua baada ya kulipwa hiyo fedha, ndiyo basi tena! Ulaji kupitia Tff atausikia tu kwa majirani. Ila milioni 76 usawa huu, si haba!!
 
Back
Top Bottom