Maajabu tuzo ligi kuu bara

Maajabu tuzo ligi kuu bara

Kitambi chakufutia tachi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
1,063
Reaction score
2,566
SALAAM WAKUU.

Kila nikitazama orodha ya wachezaji wanaowania tuzo mbalimbali msimu huu napigwa na butwaa.

Naona hawa TFF wamewaweka baadhi ya wachezaji ili kusawazisha ule Usimba na uyanga ila sio kwa kutazama msaada walioutoa kwa timu zao katika msimu uliopita.

Nashangaa kumuona Feisal Salum katika orodha ya wanaowania uchezaji bora halafu simuoni Idy Nado na Luis hivi ni kitu gani alichofanya Feisal kuwazidi wawili hao.

Yan Fei mwenye magoli 5 na pasi za magoli 4 niwakuwepo kwenye kinyang'anyiro mbele ya nado mwenye magoli 11 na pasi za mabao 9 au mbele ya Luis mwenye mabao 10 na pasi za mabao 9?

au Dickson Job alifanya kitu gani kumzid Abdulmajid Mangalo?

TFF MSIFANYE MAMBO KWA AJILI YA KUWARIDHISHA UTOPOLO KWA KUWA WANACHONGA NGENGA SANA MTAHARIBU FANYENI VITU KULINGANA NA UHALISIA ULIVYO LA SIVYO KWA HUU UJINGA WENU WA KUTAKA KUBALANSI USIMBA NA UUTOPOLO HATUTAENDELEA KAMWE.
 
Eti manara muhamasishaji!!! Mtu kutwa kuchwa mnampiga mifaini ya kukiuka kanuni, kutukana waandishi na kutishia kuwadhalilisha leo mnamuona bora? TFF ni matahira yaliyojikusanya
 
soka la ulaya unapata stress kwa kufungwa tu

soka la bongo sasa stress zinatoka÷
kwenye shirikisho
kwenye matokeo
viwanja
uchawi
rushwa
fitna
na uchambuzi wa mashabiki wasiojua hata wanachoshabikia

yani tafran
 
Tuzo zimekosa mvuto kwa sababu ya kubalance usimba na yanga
Utopolo wako tayari kwenda CAS kama wasipofanyiwa balance!! Japo uwezo hawana!!! Caf wana pointi 1, mwaka huu wameongeza pointi sifuri huko Caf!! Wameangukia pua mapema asubuhi hukk nigeria!! Lakini ukiwagusa wanakuambia wamemfunga simba japo nj kwenye kombe la mbuzi!! Wakimfunga simba wanaona kwenye soka wamefika hadi mbinguni kwa hiyo hakuna mafanikio mengine zaidj ya kumfunga simba!! Timu yenye mawazo ya hivyo unatagemea nini?
 
SALAAM WAKUU.

Kila nikitazama orodha ya wachezaji wanaowania tuzo mbalimbali msimu huu napigwa na butwaa.

Naona hawa TFF wamewaweka baadhi ya wachezaji ili kusawazisha ule Usimba na uyanga ila sio kwa kutazama msaada walioutoa kwa timu zao katika msimu uliopita.

Nashangaa kumuona Feisal Salum katika orodha ya wanaowania uchezaji bora halafu simuoni Idy Nado na Luis hivi ni kitu gani alichofanya Feisal kuwazidi wawili hao.

Yan Fei mwenye magoli 5 na pasi za magoli 4 niwakuwepo kwenye kinyang'anyiro mbele ya nado mwenye magoli 11 na pasi za mabao 9 au mbele ya Luis mwenye mabao 10 na pasi za mabao 9?

au Dickson Job alifanya kitu gani kumzid Abdulmajid Mangalo?

TFF MSIFANYE MAMBO KWA AJILI YA KUWARIDHISHA UTOPOLO KWA KUWA WANACHONGA NGENGA SANA MTAHARIBU FANYENI VITU KULINGANA NA UHALISIA ULIVYO LA SIVYO KWA HUU UJINGA WENU WA KUTAKA KUBALANSI USIMBA NA UUTOPOLO HATUTAENDELEA KAMWE.
Hao wa kwako waanzishie mchuano wao na uwape zawadi wewe.
 
Basi hata inahitaji nguvu kubwa sana kuongelea hilo mkuu mpaka mishipa ya shingo inakutoka

Andaa tuzo zako na hao wanaostahili kupewa tuzo kwa vigezo ulivyo ona ni sahihi wape zawadi zao

Simple and clear

Huyo Abdulmajid Mangalo, how better is he? Mpk akose namba timu ya Taifa, in terms of Feisal, how can a waste and bad player apate namba Kwa timu ya Taifa kwa kila kocha anayekuja Taifa Stars

If u know football, You will be aware of this.
 
Let's back to EPL September player of the month in terms of record btn Mo Salah and CR7

CR7 don't deserve to have An award but with unexpected moment CR7 got an award, Do you know why?
 
Zile tuzo bila Miquissone, Nado, Dube, Onyango ni batili. Kwenye beki pale toa Kapombe na Job weka Onyango na Abdulmajid Mangalo. Kiungo toa Feisal kabisa, ana kiwango bora sasa nadhani hata mechi 3 za mwisho alikua on form kushinda Chama na Nado. Ila hakua bora msimu mzima kama wenzie namba don't lies
 
SALAAM WAKUU.

Kila nikitazama orodha ya wachezaji wanaowania tuzo mbalimbali msimu huu napigwa na butwaa.

Naona hawa TFF wamewaweka baadhi ya wachezaji ili kusawazisha ule Usimba na uyanga ila sio kwa kutazama msaada walioutoa kwa timu zao katika msimu uliopita.

Nashangaa kumuona Feisal Salum katika orodha ya wanaowania uchezaji bora halafu simuoni Idy Nado na Luis hivi ni kitu gani alichofanya Feisal kuwazidi wawili hao.

Yan Fei mwenye magoli 5 na pasi za magoli 4 niwakuwepo kwenye kinyang'anyiro mbele ya nado mwenye magoli 11 na pasi za mabao 9 au mbele ya Luis mwenye mabao 10 na pasi za mabao 9?

au Dickson Job alifanya kitu gani kumzid Abdulmajid Mangalo?

TFF MSIFANYE MAMBO KWA AJILI YA KUWARIDHISHA UTOPOLO KWA KUWA WANACHONGA NGENGA SANA MTAHARIBU FANYENI VITU KULINGANA NA UHALISIA ULIVYO LA SIVYO KWA HUU UJINGA WENU WA KUTAKA KUBALANSI USIMBA NA UUTOPOLO HATUTAENDELEA KAMWE.
una puyanga Dickinson Job kwako sio beki mzuri? Wewe ni coach una nafasi moja kati ya Feisal na Nado uta muacha Feisal umchukue Nado?
 
Back
Top Bottom