Maajabu! Wezi wakata mauno usiku kucha wakiwa uchi baada ya kuiba gari

Wahenga walisema, penye ukweli, uongo hujitenga.

Penye wengi, haliharibiki jambo.

Tena walisema, wajinga ndio waliwao.

Asante mdau Lewis254 kwa kutuangazia mwanga hapa, tulikuwa tunapigana na giza totoro la imani za ujinga.
Hakika mkuu mwanzoni nilikuwa niko njia panda ila now nimeelewa what has happened

Haya mambo sijui mizukule, majini ni fix tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alaf kuna wapuuzi watakwambia afrika tuko nyuma,.such a good security.Hakuna cha alarm wala gia lock,utacheza mziki mpaka nifike.
 

tanzama vile huo utapeli ulivyopangwa hapa mombasa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…