Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Mpaka sasa World Cup 2018 ndiyo inashikilia rekodi ya kutazamwa na watu wengi ambapo jumla ya watu bilioni 3.5.
Source: More than half the world watched record-breaking 2018 World Cup
Hata hivyo imedaiwa kuwa Klabu ya Simba katika mechi zake za CAFCL na kampeni ya visit Tanzania wametazamwa na watu bilioni tano kama hili ni kweli basi Simba wamevunja rekodi ya dunia.
Takwimu kamili WC 2018 pakua pdf hapo chini
Source: More than half the world watched record-breaking 2018 World Cup
Hata hivyo imedaiwa kuwa Klabu ya Simba katika mechi zake za CAFCL na kampeni ya visit Tanzania wametazamwa na watu bilioni tano kama hili ni kweli basi Simba wamevunja rekodi ya dunia.
Takwimu kamili WC 2018 pakua pdf hapo chini