Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Tafiti hupingwa kwa Tafiti, Kwanza Unajua kampeni ya VISIT TANZANIA IMEANZA LINI? ZIMECHEZWA MECHI NGAPI KWENYE NCHI ZIPI? NI TIMU NGAPI HADI SASA ZIMECHEZA NA SIMBA KWA KAMPENI YA VISIT TANZANIA??Mpaka sasa World Cup 2018 ndiyo inashikilia rekodi ya kutazamwa na watu wengi ambapo jumla ya watu bilioni 3.5
Source: More than half the world watched record-breaking 2018 World Cup
Hata hivyo imedaiwa kuwa Klabu ya Simba katika mechi zake za CAFCL na kampeni ya visit Tanzania wametazamwa na watu bilioni tano kama hili ni kweli basi Simba wamevunja rekodi ya dunia.
Takwimu kamili WC 2018 pakua pdf hapo chini
Alikuwa mwanasheria wa Simba.Yule waziri ni mwendawazimu
kwa hiyo nani ana fan base ya angalao milioni 100 let alone bilionTafiti hupi
Kwanza Unajua kampeni ya VISIT TANZANIA IMEANZA LINI? ZIMECHEZWA MECHI NGAPI KWENYE NCHI ZIPI? NI TIMU NGAPI HADI SASA ZIMECHEZA NA SIMBA KWA KAMPENI YA VISIT TANZANIA??
HIZO TIMU ZINA FANS BASE YA AINA IPI? NI NJIA IPI ILITUMIKA KUFANYA UTAFITI? TAKWIMU ZIMEKUSANYWAJE?
Hivi akitetema ndiyo wasukuma(wasugunsu)wanampa ng'ombe aliyekonda kama ana sotoka?πππππHaina haraka sana hiyo mechi.
Tunasubiri kwanza Mayele ateteme kwenye mechi yetu na jirani yetu wa mtaa wa pili hapa hapa Kariakoo.
Wanaobeba makombe ndiyo wanaocheza, ninyi wengine ni washiriki na wasindikizaji mliochangamka tu [emoji23]Umeandika uongo ndugu yetu.Hivi mtacheza lini mechi ya kimataifa na Eritrea?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi,unikumbushe kidogo mkuu.Kwenye kundi lenu mpo ninyi Yanga Afulika,Somalia, Eritrea na nchi gani vile?No hard feelings,mkuu?ππππWanaobeba makombe ndiyo wanaocheza, ninyi wengine ni washiriki mliochangamka tu [emoji23]
Kassim Sasa,amekuwa Jambazi,ukikutana naye usiku mpitie mbali.Yote hayo ni cha mtoto kwa msiba uliofuatiliwa na wengi zaidi Africa/duniani kwa ujumla.
Kwa mujibu wa waziri wetu wa michongo, katelephonii