Maajabu ya Cristiano Ronaldo, afikisha magoli 900 michuano rasmi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648


Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza wa kiume katika historia kufunga magoli 900 kwenye mechi rasmi. Amefikia rekodi hii ya kihistoria katika mechi ya UEFA Nations League kati ya Ureno na Croatia iliyochezwa Lisbon Alhamisi hii.

Soma Pia: Lionel Messi aipiku rekodi ya Ronaldo kwa kufunga magoli mengi Ulaya

Hii ndio 5 Bora ya wachezaji wenye Mabao Mengi zaidi katika Historia ya Soka

 

Attachments

  • IMG_6246.jpeg
    345.6 KB · Views: 11
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
 
Mbona hata mesi atamzidi magoli 400 kama akifanikiwa kucheza mechi sawa na Ronaldo...
 
Bican ndo balaa.... Mechi mia 5 na afu magoals 800+

Sema kwa Ronald kwa kizazi hiki iko sawa. Congole kwake..
 
Hatari huyu jamaa, kautendea haki mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…