Maajabu ya direct cost za udsm

siansakala

Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
75
Reaction score
10
Sooory,,,ivi hizi direct cost 77400/=tunalipia benki au tunalipia palepale chuoni kwa mhasibu wa chuo????
jamani mnisaidie
 
benki mkuu,hawakubali kupokea mkononi,hope kama umeona kwenye web yao lazima na akaunt zao wametoa.wanapokea risiti tu.
 
Maajabu yako wapi sasa? Msiwe wavivu, info ziko kila mahali. Kama unaweza kuja hapa jf unashindwaje kutembelea tovuti ya chuo?? Barua toka chuo je haisemi lolote?
 
Maajabu yako wapi sasa? Msiwe wavivu, info ziko kila mahali. Kama unaweza kuja hapa jf unashindwaje kutembelea tovuti ya chuo?? Barua toka chuo je haisemi lolote?
ndo umekasirika...?mchaga utamjua tu
 
duh! Mbona pesa kiduchu? Ndo gharama kujiunga chuo?
 
Yaani kitu wewe hukijui then una-conclude kua ni maajabu!!

Maajabu ni kuwa kilitakiwa kua "hivi" but kilo "vile"
 
mlimani kusoma ndio bei ndogo hizo? Lol
 
Chuo che2 raha sana.elimu nzur bt gharama kiduchu.
 
Kwel udsm gharama ndogo hvo? Na majabu yako wap hapo bonge la heading ndan 2pu mna2zngua
 
Maajabu yako wapi sasa? Msiwe wavivu, info ziko kila mahali. Kama unaweza kuja hapa jf unashindwaje kutembelea tovuti ya chuo?? Barua toka chuo je haisemi lolote?
ndo maana nimesema SOOORY
 
Maajabu yako wapi sasa? Msiwe wavivu, info ziko kila mahali. Kama unaweza kuja hapa jf unashindwaje kutembelea tovuti ya chuo?? Barua toka chuo je haisemi lolote?
we huoni 77400 tu..kwenu SUA ni sh ngapi????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…